Msaada Tiba ya maumbile madogo

Msaada Tiba ya maumbile madogo

Unasimama vizur tu na kufikia mpaka inch 5 na kidogo, na nashiriki tendo vyema tu...kakinywea ndo hatari kadogo kweli..nishawahi kupata mwanamke...tulipotaka kufanya sex akaniambia una maumbile madogo lakini tulisex na aliridhika na ahsante akanipa.
Kwa hiyo unachotaka ni uume mkubwa ukiwa umelala? Sasa unaotaka wa kazi gani huo?
 
Jamani ndugu zangu wana jf mimi ni muhanga wa maumbile madogo, pengine ni sababu ya life style yangu wakati wa ukuaji (nazungumzia kujichua sana) kwa sasa nina miaka 26 lakini maumbile yangu ni madogo mpka naona aibu hata kuwa na mahusiano, msaada kwa yeyote anaefahamu suluhisho
Aisee una maisha ya shida sana...usipobadili saikolojia utaish maisha ya tabu had unaingia kaburin

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Explanation kidogo kaka, hapa ni kusaidiana na kama unaona nina tatizo la saikolojia basi ni kunisaidia kurevert hiyo saikolojia yangu, otherwise unaweza usicomment chochote tu.
Hapo kikukwa achana na dhana hiyo, watu wengi penis zao zinaanza nchi 4.5 mpaka 8. Ukiwa chini au juu ya hapo Ndo unaweza kusema ni shida.
 
wapo wa size yako wangine tunaachika kwakuumiza watoto wa watu yani maisha ni kubafilishana kaka
 
Tatizo lako ni la kisaikolojia na kutofahamu mambo mengi yanayohusu ufanyaji wa mapenzi,Piga namba 0756625286 utasaidiwa ushauri.
 
Nikupe somo kidogo:uume wa binadamu una kazi 2 tu,1.kutolea haja ndogo,2.kufanya mapenzi.hiyo ya kwanza tuiache,ya 2 mwanaume yoyote mwenye uume unaosimama anaweza kumfikisha mwanamke kileleni bila kujali ukubwa au udogo wa uume wake,na pia mwanaume mwenye uume mkubwa anaweza kushindwa kumfikisha mwanamke kileleni na yule mwenye uume mdogo anaweza.
Kufanya mapenzi na kumfikisha mwanamke kileleni kunahusisha mambo mengi Kama kumuandaa mwanamke, maneno/mazungumzo yenu kabla ya kukutana,wakati mlipokutana na wakati mnafanya mapenzi....
Kwahiyo wewe mwenye uume mdogo unatakiwa ujiamini,usiwe na woga Wala wasiwasi.

Niishie hapa hii elimu ni kubwa Sana.
We ni daktari au shuhuda wa tiba fulani?
 
Nikupe somo kidogo:uume wa binadamu una kazi 2 tu,1.kutolea haja ndogo,2.kufanya mapenzi.hiyo ya kwanza tuiache,ya 2 mwanaume yoyote mwenye uume unaosimama anaweza kumfikisha mwanamke kileleni bila kujali ukubwa au udogo wa uume wake,na pia mwanaume mwenye uume mkubwa anaweza kushindwa kumfikisha mwanamke kileleni na yule mwenye uume mdogo anaweza.
Kufanya mapenzi na kumfikisha mwanamke kileleni kunahusisha mambo mengi Kama kumuandaa mwanamke, maneno/mazungumzo yenu kabla ya kukutana,wakati mlipokutana na wakati mnafanya mapenzi....
Kwahiyo wewe mwenye uume mdogo unatakiwa ujiamini,usiwe na woga Wala wasiwasi.

Niishie hapa hii elimu ni kubwa Sana.
Hahah..maneno ya kujifarij haya kaka...mwanamke akiona mashine ya manaa lazima achangamke..utamwona tu usoni...hahah...na utaona anawai kuifanya kama koni...hapo ujue ameipenda mashine...achana ma mambo ya kuridhisha..manaa kuridhisha hata kidole kinaweza mridhisha..ishu ni hyo satisfaction ya kujiamin na kupendwa.hakuna mwanamke anapenda mashine ndogo..wanawapa tumain tu.hahah..huu ndo ukwel kaka..ts like useme wanawake wanapenda watu wafupi..hahhaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom