Kimdondzabange
Member
- Nov 5, 2016
- 6
- 1
Kwani waliajiriwa na nani hao wa astashahada na shahada?Waziri wa Katiba na Sheria Mh.Dkt Harrison Mwakyembe amesema serikali itawafuta kazi Mahakimu wote wa mahakama za mwanzo wenye elimu ya cheti na diploma ya sheria.
“Tunahitaji mahakimu wenye uwezo wa sheria ambao wamehitimu shahada ya kwanza, hivyo serikali inaandaa utaratibu wa kuwafuta kazi mahakimu wote wenye elimu ya cheti na diploma”