Sio ngumu kupata, unaenda idara ya maendeleo ya Jamii Halmashauri, au unaweza kuanzia kwenye kata, then, wanakupa maeekezo, japo mikopo hiyo lazima muwe na Akaunti iliyo hai, kazi rasmi inyoweza kujizalisha na kurejesha mkopo huo, na lazma kweli muwe na sifa ya kundi la vijana kwa maana ya umri...