Kinyungu
Platinum Member
- Apr 6, 2008
- 21,617
- 42,985
Mama Porojo aje hapa maana anabisha sana kuwa mheshimiwa hayuko ethiopia
Tena sio tu yuko Ethiopia bali yuko huko kukutana na aina ya watu wanaosimamia kutoa misaada kwa nchi masikini kama huyo mkurugenzi wa USAID! Kwa kweli ni aibu. Hata Obama nasikia kamwalika kwenye mkutano wa G8 kuzungumzia mambo ya njaa. Mi naona kama Obama anamdharau sana JK kwa nini amwite kuzungumzia njaa? Kwa nini rais wa Algeria au Botswana au Angola hajaitwa kwenye huo mkutano kuzungumzia njaa hadi akaona JK ndie anafaa kuongelea mambo ya njaa? JK think twice na hii mialiko unayopewa!