Recent content by appolo ELEVEN

  1. appolo ELEVEN

    Uzi wa kupeana shuhuda mbalimbali za Waganga wa Kienyeji

    Nahtaji usaidiź kwenye maswala ya biznes
  2. appolo ELEVEN

    Mashine ipi nzuri kwa Stationery kati ya Canon na Xerox?

    Kama una uhakika wa kupata kazi za kutosha ongeza EPSON L850 itakusaidia unapopata changamoto kwenye canon
  3. appolo ELEVEN

    Process za kufuta matokeo ya form six zikoje?

    Hapo nadhani itakua njema sana ukitafuta mawasiliano moja kwa moja kwenye baraza la mitihani (NECTA)
  4. appolo ELEVEN

    Mchezaji mmoja kufunga Mabao 5 ni tukio la aibu

    Sijui kama unajua mpira kama unajua basi hauna akili timamu vilevile ngoja nikukumbushe mambo baadhi;- 1.Saido sio mchezaji wa kwanza kufunga magori 5 kwenye mchezo mmoja. Messi,Halaand na wengine wengi washawahi kufanya hivyo. 2.Simba ndio kilabu inayoongoza kufunga magori mengi kwenye ligi...
  5. appolo ELEVEN

    Wanaojifanya kumjua sana mwanamke, wanajidanganya

    Hizi zote changamoto za kawaida tu sioni geni kwenye hili,,, Mi mwaka huu nahtaji chombo moja inayojielewa niweke ndani,,, 1.Mkristu 2.Age 18-28 3.form4- university 4.awe na kazi ama hana fresh tu japo akiwa nesi au Mwalimu itafaa sana.
  6. appolo ELEVEN

    Chama, mchezaji wa game ndogo anapowafunika Lilepo na Shelulile

    Bero hapa utabishana na vurya wenye akili kama kimburu..kama Chama kacheza na timu ndogo hebu mtu mmoja anijibu haya maswali systematically bila kupindisha kwa kuweka maneno mengi: 1.Vipers ni wabovu? Walimfanya nini chura kwenye siku zake na walimtoa nani wakafika kilabu bingwa makundi...
  7. appolo ELEVEN

    Trying to force things so as they can work out, will always attract false vibes

    Well said,your post reminded me some of my past experiences which i dare not to forget the lessons i got, it once happened that i loved a girl and that same girl loved my friend[emoji22] but fun enough the friend I speak about didn't care the love shown by the girl i loved, to cut a long story...
  8. appolo ELEVEN

    Umeshasikia kuhusu 'DEEP WEB'?

    Tumia hata laini yA tigo
  9. appolo ELEVEN

    Mafanikio ya Uganga yapo?

    Nahitaji connection na huyo anko wako wa chui
  10. appolo ELEVEN

    Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

    Kila jambo linawezekana,unaweza kuanzia hapa; 1.Elimu Mtafute dogo umpe psychology mpya utayofuta mindset ya kuombaomba, ajue maisha utayapata hata kwa kujituma mwenyewe. Mpeleke sehemu wa wajuzi wa biashara utakayofikiria akale mafunzo staiki. 2.kuhusu mapenzi sijui chochote
  11. appolo ELEVEN

    The World is a flat plane and not a globe

    This is a topic of some controversy, mystery scientists are very mean and selfish
Back
Top Bottom