Recent content by Apolinary laurent

  1. A

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Ukweli Mohamed Salah alituumiza kipindi fulani.mechi 8 bila kufunga zimetugarimu.
  2. A

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Umenena mema sana boss wangu Sent using Jamii Forums mobile app
  3. A

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Upo sahihi mkuu.
  4. A

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Upo sahihi kabisa.mpenzi wa kweli wa liver hamtukanagi kocha wala timu.maana mchezaji anayetaka apangwe hakusajili yeye.wala hakutoa ushauri asajiliwe,wala haishi na mchezaji ajue hali yake.kikubwa kazi yetu ni kuisaport timu kwa kila aina ya matokeo
  5. A

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Wivuu tuu umewabana
  6. A

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Muda wa timu kuwa chuo cha mafunzo umepita.tunataka matokeo ya haraka.chelsea au man city hawawezi kufanya timu zao vyuo.kama kuna kijana afanye jitihada kama TAA.Angalieni mpaka sasa Fabinho hajapata namba sembuse makinda
  7. A

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Upo sahihi kabisa mkuu
  8. A

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Hakika Liverpool ya msimu huu inafurahisha mnoo
  9. A

    Julius Mtatiro anena haya

    Huyo alikuwa mwenyekiti wa chama.siyo mwanachama.sidhani kama anastshili kuwa balozi
  10. A

    Baada ya jaribio la Mbowe kuwafukuza Komu na Kubenea kushindikana, Uchaguzi wa Mwenyekiti CHADEMA kuahirishwa

    Bado wewe upo chadema?ebu andika ya upande unaoujua kwa sasa maana chadema uliondoka ndugu
  11. A

    Joyce Kiria ana ujumbe kwa haters wake, baada ya kupondwa kuweka hadharani mambo ya familia

    Kuna kipindi watu waliandika kuhusu maziko ya baba yake.nani anaweza kutukumbusha jamani?
  12. A

    Simulizi: Makaburi ya wasio na hatia

    Hii stori ni nzuri ila mwenyewe anakaa muda mrefu kuiendeleza mpaka tunaisahau
Back
Top Bottom