Julius Mtatiro anena haya

Julius Mtatiro anena haya

Mbona sijaona ukishambuliwa na chadema bro?Chadema wengi wako kimya na ninaowasoma humu ni wale tu wenye mawazo huru na sikumbuki ni lini ulishambuliwa na Chadema.Sema tu huwezi pata kiki bila Chadema kutajwa.Tulisha kusahau mkuu,but kama mzee baba huwa anapita huku,anaweza kukukumbuka..
 
Pointi ya change of position iko nje kabisa na uhalisia kwenye mfano wa cuf na mh karume.huwezi kulinganisha mapatano yale yenye mustawa wa nchi na taifa,utulivu na maslahi mapana ya wazanzibari na ubinafsi wa wa mtatiro. Hali ile ilizaa gnu iliyopo kikatiba na kupelekea kubadilisha mfumo wa utawala kikatiba. Mtatiro na maslahi yake binafsi hawezi kulinganisha na maslahi mapana ya maelewano ya cuf na mh karume. Mtatiro endelea kufaidi huko uliko
 
CCM wana dhambi sana, huyu jamaa kawa kichwa nazi kabisa!
 
Na Julius Mtatiro
Nimeiona hoja ya ndimi mbili; kwamba zamani niliisema sana CCM, leo naitetea na najipendekeza CCM. Kwamba jana nilisimamia hiki, leo nasimamia kile.

Katika siasa hiyo ni CHANGE OF POSITION kulingana na wakati na maamuzi ya mtu au taasisi, nitawapa mifano miwili;

1. Baada ya Rais Karume Jr wa Zanzibar kushinda urais wa Zanzibar mwaka 2005, CUF ilipinga ushindi wake, ikakataa kutambua urais wake. CUF ilizunguka Zanzibar nzima ikihubiri kuwa uongozi wa CCM ni wa kidhalimu, uongozi wa Karume ni haramu na serikali ya Karume ipingwe usiku na mchana.

Baadaye CUF ilipojitafakari sana, hasa Katibu Mkuu Seif Sharif na viongozi wa Zanzibar wakaona ni muhimu kutafuta suluhu na Rais Karume ili mambo yaende.

CUF ile ile ambayo ilizunguka nchi nzima kusema Karume Jr hafai, ni mbaya na asiungwe mkono, ikaitisha mkutano Kibandamaiti kutangaza kumtambua Rais Karume kama Rais, kuitambua CCM kama chama kinachoongoza Zanzibar na na kutangaza kumuunga mkono Karume Jr.

Hiyo inaitwa CHANGE OF POSITION, CUF iliona haitaleta manufaa yoyote kwa Zanzibar ikiendelea na msimamo wa kipuuzi wa kutomtambua Karume Jr. Unaweza kuiita CUF ndimi mbili?

2. CHADEMA na viongozi wake (najua wanaongoza kunishambulia mitandaoni tangu niondoke upinzani), walifanya kazi kubwa ya kuueleza umma wa watanzania namna Lowassa alivyo mchafu na fisadi wa kutupwa. Mashabiki mmesahau?

Baada ya miaka 7 ya kumchafua Lowassa mwaka 2015 SUMMIT YA UKAWA (Viongozi wakuu; Freeman, Lipumba, Mbatia n.k) wakamleta Lowassa yuleyule kuwa mgombea Urais wa upinzani, nakumbuka kwenye kampeni za 2015 sote tuliogombea hatukuwa na option zaidi ya kumnadi Lowassa kama mgombea wa upinzani.

Halafu watu wale wale waliomtukana Lowassa kwa miaka 7 baadaye akawa mgombea wao nimewaona wanahangaika sana na Mtatiro, wanasema Mtatiro amefanya dhambi kubwa kujiunga CCM aliyokuwa anaipinga, au kumuunga mkono Rais JPM.

Wanasema Mtatiro ni Msaliti kwa kujiunga CCM. Hizi ni frustration za hali ya juu sana. Kwa sasa Mtatiro hawezi kuokoa kuzama kwa vyama vilivyojengwa kwenye misingi ya watu binafsi, vyama ambavyo mtu fulani akitoka vinakufa, vyama ambavyo vimeshindwa kwa miaka 20 kuishi yale ambayo vinayahubiri.
Kwa mifano hiyo unajiona umeoga kwa kutumia sabuni ya Dettol wewe bado ni mchafu na utabaki hivyo, hakuna aliyekuuliza ila unajishuku mwenyewe.
 
Julius Mtatiro acha UZWAZWA wewe ,Endelea kutumia fedha ulizoongwa za CCM acha MIPASHO,hata vitabu vya dini vinasema Mungu haweki agano na masikini mtu mwenye njaa maana masikini/mwenye njaa hubadilika(kigeugeu),umeona fedha za CUF zimepigwa pini,hauna hela ukaona ujisalimishe CCM.

Terms and Conditions, ukihama sharti la kwanza ukiponde chama ulichotoka ili kionekane ni kibovu.

Hiyo iko kwenye contract.
 
Na Julius Mtatiro
Nimeiona hoja ya ndimi mbili; kwamba zamani niliisema sana CCM, leo naitetea na najipendekeza CCM. Kwamba jana nilisimamia hiki, leo nasimamia kile.

Katika siasa hiyo ni CHANGE OF POSITION kulingana na wakati na maamuzi ya mtu au taasisi, nitawapa mifano miwili;

1. Baada ya Rais Karume Jr wa Zanzibar kushinda urais wa Zanzibar mwaka 2005, CUF ilipinga ushindi wake, ikakataa kutambua urais wake. CUF ilizunguka Zanzibar nzima ikihubiri kuwa uongozi wa CCM ni wa kidhalimu, uongozi wa Karume ni haramu na serikali ya Karume ipingwe usiku na mchana.

Baadaye CUF ilipojitafakari sana, hasa Katibu Mkuu Seif Sharif na viongozi wa Zanzibar wakaona ni muhimu kutafuta suluhu na Rais Karume ili mambo yaende.

CUF ile ile ambayo ilizunguka nchi nzima kusema Karume Jr hafai, ni mbaya na asiungwe mkono, ikaitisha mkutano Kibandamaiti kutangaza kumtambua Rais Karume kama Rais, kuitambua CCM kama chama kinachoongoza Zanzibar na na kutangaza kumuunga mkono Karume Jr.

Hiyo inaitwa CHANGE OF POSITION, CUF iliona haitaleta manufaa yoyote kwa Zanzibar ikiendelea na msimamo wa kipuuzi wa kutomtambua Karume Jr. Unaweza kuiita CUF ndimi mbili?

2. CHADEMA na viongozi wake (najua wanaongoza kunishambulia mitandaoni tangu niondoke upinzani), walifanya kazi kubwa ya kuueleza umma wa watanzania namna Lowassa alivyo mchafu na fisadi wa kutupwa. Mashabiki mmesahau?

Baada ya miaka 7 ya kumchafua Lowassa mwaka 2015 SUMMIT YA UKAWA (Viongozi wakuu; Freeman, Lipumba, Mbatia n.k) wakamleta Lowassa yuleyule kuwa mgombea Urais wa upinzani, nakumbuka kwenye kampeni za 2015 sote tuliogombea hatukuwa na option zaidi ya kumnadi Lowassa kama mgombea wa upinzani.

Halafu watu wale wale waliomtukana Lowassa kwa miaka 7 baadaye akawa mgombea wao nimewaona wanahangaika sana na Mtatiro, wanasema Mtatiro amefanya dhambi kubwa kujiunga CCM aliyokuwa anaipinga, au kumuunga mkono Rais JPM.

Wanasema Mtatiro ni Msaliti kwa kujiunga CCM. Hizi ni frustration za hali ya juu sana. Kwa sasa Mtatiro hawezi kuokoa kuzama kwa vyama vilivyojengwa kwenye misingi ya watu binafsi, vyama ambavyo mtu fulani akitoka vinakufa, vyama ambavyo vimeshindwa kwa miaka 20 kuishi yale ambayo vinayahubiri.
Mifano yote hiyo haiwezi tumika.CUF na CHADEMA walibadili positions kwa maslahi ya vyama na taifa.Hata vitani kuna mbinu ya Retreat in order to advance au ile ya Chairman Mao One step backward Ten steps forward.
Mtatiro alichofanya ni kwa manufaa yake binafsi bila nia yoyote ya kufanikisha maslahi ya jamii kwa ujumla.Anataka cheo kama yeye
 
Bado nakumbuka last post ya huyu mwamba juu ya Mama yake kukosa maji pale kijijini kwao Kiabakari, Musoma akiituhumu serikali ya CCM kushindwa kuwapelekea maji wananchi wa kijiji kile anachoishi mama yake mzazi. Toka siku alipojiunga na CCM nimejiuliza swali hili "je, maji yalishapatikana na mama yake pamoja na wanakijiji wenzake w/akasaidiwa kuondokana na kero ya kukosa maji kijijini pale?" hadi akafikia hatua ya kusahau yote aliyoyasema juu ya CCM na serikali yake?

Andiko lake akimjibu na kumzodoa Prof. na Mwl. wake Kitila Mkumbo kwa barua za mtandaoni. Je, nini kilibadilika?

Eeeeh Mtatiro naendelea kukumbuka mgomo wa 2007 na maandamano ya wanafunzi wa vyuo vikuu yaliyoishia Jangwani pale. Namna TAHILISO, ukiwa champion wao, mlivyomaliza lile game imebaki funzo kubwa kwangu na pengine wote waliokuwa wakiwatazama kama wapambanaji wa wanyonge.

Maisha ni concept yenye tafsiri pana sana, naam! Pumzika uliko MWAMBA. Change in Game Position, YES! No matter how, when, where and why! Just for your own sake.
 
Na Julius Mtatiro
Nimeiona hoja ya ndimi mbili; kwamba zamani niliisema sana CCM, leo naitetea na najipendekeza CCM. Kwamba jana nilisimamia hiki, leo nasimamia kile.

Katika siasa hiyo ni CHANGE OF POSITION kulingana na wakati na maamuzi ya mtu au taasisi, nitawapa mifano miwili;

1. Baada ya Rais Karume Jr wa Zanzibar kushinda urais wa Zanzibar mwaka 2005, CUF ilipinga ushindi wake, ikakataa kutambua urais wake. CUF ilizunguka Zanzibar nzima ikihubiri kuwa uongozi wa CCM ni wa kidhalimu, uongozi wa Karume ni haramu na serikali ya Karume ipingwe usiku na mchana.

Baadaye CUF ilipojitafakari sana, hasa Katibu Mkuu Seif Sharif na viongozi wa Zanzibar wakaona ni muhimu kutafuta suluhu na Rais Karume ili mambo yaende.

CUF ile ile ambayo ilizunguka nchi nzima kusema Karume Jr hafai, ni mbaya na asiungwe mkono, ikaitisha mkutano Kibandamaiti kutangaza kumtambua Rais Karume kama Rais, kuitambua CCM kama chama kinachoongoza Zanzibar na na kutangaza kumuunga mkono Karume Jr.

Hiyo inaitwa CHANGE OF POSITION, CUF iliona haitaleta manufaa yoyote kwa Zanzibar ikiendelea na msimamo wa kipuuzi wa kutomtambua Karume Jr. Unaweza kuiita CUF ndimi mbili?

2. CHADEMA na viongozi wake (najua wanaongoza kunishambulia mitandaoni tangu niondoke upinzani), walifanya kazi kubwa ya kuueleza umma wa watanzania namna Lowassa alivyo mchafu na fisadi wa kutupwa. Mashabiki mmesahau?

Baada ya miaka 7 ya kumchafua Lowassa mwaka 2015 SUMMIT YA UKAWA (Viongozi wakuu; Freeman, Lipumba, Mbatia n.k) wakamleta Lowassa yuleyule kuwa mgombea Urais wa upinzani, nakumbuka kwenye kampeni za 2015 sote tuliogombea hatukuwa na option zaidi ya kumnadi Lowassa kama mgombea wa upinzani.

Halafu watu wale wale waliomtukana Lowassa kwa miaka 7 baadaye akawa mgombea wao nimewaona wanahangaika sana na Mtatiro, wanasema Mtatiro amefanya dhambi kubwa kujiunga CCM aliyokuwa anaipinga, au kumuunga mkono Rais JPM.

Wanasema Mtatiro ni Msaliti kwa kujiunga CCM. Hizi ni frustration za hali ya juu sana. Kwa sasa Mtatiro hawezi kuokoa kuzama kwa vyama vilivyojengwa kwenye misingi ya watu binafsi, vyama ambavyo mtu fulani akitoka vinakufa, vyama ambavyo vimeshindwa kwa miaka 20 kuishi yale ambayo vinayahubiri.
Mtatiro sema ukweli we si ulidai account zako zilifungiwa that’s why ulihama na pia ukadai mtoto wako alitaka kutekwa ukamkimbiza Nairobi Na kwa kua account zako zimefungwa unashindwa kumlipia ada ndio ukaona uende CCM au umesahau ulichokisema wakati unaenda kwenye usaili ili uende short course marekani ?
 
Ndugu yangu mtatiro, kwa uongozi wa chief nanga ili akuteue lazima umtukane sana mbowe na chadema yake. sasa wewe sijui utamtukana mbowe kwa lipi wakati wewe umetokea cuf
 
Aongeze bidii tu mwenzake kapata teuzi baada ya kutakana upinzani, asikae kimya ajitahidi kusifu na kuabudu jimbo lolote Mara li lake
 
Mtatiro acha haya mambo yatakugharimu hapo baadae. Pumzuka siasa mpaka 2020. Siasa za watanzania ni za hisia sio kufikiria hivyo pima upepo fuata walio weng iusifuate mwenye nguvu
 
Na Julius Mtatiro
Nimeiona hoja ya ndimi mbili; kwamba zamani niliisema sana CCM, leo naitetea na najipendekeza CCM. Kwamba jana nilisimamia hiki, leo nasimamia kile.

Katika siasa hiyo ni CHANGE OF POSITION kulingana na wakati na maamuzi ya mtu au taasisi, nitawapa mifano miwili;

1. Baada ya Rais Karume Jr wa Zanzibar kushinda urais wa Zanzibar mwaka 2005, CUF ilipinga ushindi wake, ikakataa kutambua urais wake. CUF ilizunguka Zanzibar nzima ikihubiri kuwa uongozi wa CCM ni wa kidhalimu, uongozi wa Karume ni haramu na serikali ya Karume ipingwe usiku na mchana.

Baadaye CUF ilipojitafakari sana, hasa Katibu Mkuu Seif Sharif na viongozi wa Zanzibar wakaona ni muhimu kutafuta suluhu na Rais Karume ili mambo yaende.

CUF ile ile ambayo ilizunguka nchi nzima kusema Karume Jr hafai, ni mbaya na asiungwe mkono, ikaitisha mkutano Kibandamaiti kutangaza kumtambua Rais Karume kama Rais, kuitambua CCM kama chama kinachoongoza Zanzibar na na kutangaza kumuunga mkono Karume Jr.

Hiyo inaitwa CHANGE OF POSITION, CUF iliona haitaleta manufaa yoyote kwa Zanzibar ikiendelea na msimamo wa kipuuzi wa kutomtambua Karume Jr. Unaweza kuiita CUF ndimi mbili?

2. CHADEMA na viongozi wake (najua wanaongoza kunishambulia mitandaoni tangu niondoke upinzani), walifanya kazi kubwa ya kuueleza umma wa watanzania namna Lowassa alivyo mchafu na fisadi wa kutupwa. Mashabiki mmesahau?

Baada ya miaka 7 ya kumchafua Lowassa mwaka 2015 SUMMIT YA UKAWA (Viongozi wakuu; Freeman, Lipumba, Mbatia n.k) wakamleta Lowassa yuleyule kuwa mgombea Urais wa upinzani, nakumbuka kwenye kampeni za 2015 sote tuliogombea hatukuwa na option zaidi ya kumnadi Lowassa kama mgombea wa upinzani.

Halafu watu wale wale waliomtukana Lowassa kwa miaka 7 baadaye akawa mgombea wao nimewaona wanahangaika sana na Mtatiro, wanasema Mtatiro amefanya dhambi kubwa kujiunga CCM aliyokuwa anaipinga, au kumuunga mkono Rais JPM.

Wanasema Mtatiro ni Msaliti kwa kujiunga CCM. Hizi ni frustration za hali ya juu sana. Kwa sasa Mtatiro hawezi kuokoa kuzama kwa vyama vilivyojengwa kwenye misingi ya watu binafsi, vyama ambavyo mtu fulani akitoka vinakufa, vyama ambavyo vimeshindwa kwa miaka 20 kuishi yale ambayo vinayahubiri.

PUMBA.....V.UUUUUUUU (in ray kigosi voice)
 
Ifike mahali mwenyekiti waCCM ampe Mtatiro cheo chake walichomuahidi,
Mtatiro anapata frustration akicheki kina Masha wanapewa mashavu alafu yeye anaachwa tu kwenye Instagram.
 
Back
Top Bottom