Recent content by Apocrita

  1. Apocrita

    JamiiForums Tanzania Unapoteza vyote...

    Uaminifu kwa watu umepotea kabisa.
  2. Apocrita

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Serikali yatangaza Kesho kuwa siku ya mapumziko kwa ajli ya maandalizi ya Uchaguzi

    Hahahaaa!! ila dhamira yako watumishi wa serikali waifurahie hiyo kesho # mwanzoni mwa andiko#
  3. Apocrita

    JamiiForums Tanzania Ndoto tunazoota na tafsiri zake

    Naombeni msaada wa tafsiri ya ndoto hizi, na zote nliziota mfululizo ndani wiki 1:- 1. Nliota rafiki wa mdogo wangu wa kiume ananitaka kimapenzi nikamkatalia, kaanza kunikimbiza ndotoni akiwa kashika kisu ili anichome, ile anataka kunichoma tu nkashtuka usingizini kwa kupiga yowe hapohapo...
  4. Apocrita

    JamiiForums Tanzania Urembo wa mapazia unavyopendezesha nyumba

    Hahahaaa
  5. Apocrita

    JamiiForums Tanzania Nataka kwenda Msanga

    Yeah!!
  6. Apocrita

    JamiiForums Tanzania Nataka kwenda Msanga

    Jioni tukutane kwa Songo
  7. Apocrita

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Musiga: Roads around Kololo Ceremonial, will be Closed

    Ffdueu
  8. Apocrita

    JamiiForums Tanzania Mapenzi ya chuo: Mabinti ndio hutajirika na vijana kuwa maskini

    Wew illovo usiwaokote watu humu ndan,, badilika kwanza wew,, sina shaka nami ntakemewaaaaaaa,,, hahahaa
  9. Apocrita

    JamiiForums Tanzania Mapenzi ya chuo: Mabinti ndio hutajirika na vijana kuwa maskini

    Si afadhar hyo mweny pepo la kutoa pesa kuliko yule anayeoa mke, miaka miwili mke haijui saloon iko wap,, tangu atoke nyumban kwao hajawah ona nguo mpya wala viatu zaid ya yeboyebo za kununuliwa mara 1 kwa mwaka,,, halafu mnatoroshewa wake zenu mnakuja kuhangaika jf kutafta wanawake walookoka...
  10. Apocrita

    JamiiForums Tanzania Mapenzi ya chuo: Mabinti ndio hutajirika na vijana kuwa maskini

    Mmhhhh!! Napata kigugumizi.. Mmekuwa mkijitetea roho za mapepo,, ubahili tu ndo wawasumbueni baadhi yenu
  11. Apocrita

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday: Jiunganishe na mtu ambaye amezaliwa mwezi mmoja, siku moja na wewe

    Nambie ma' twin
  12. Apocrita

    JamiiForums Tanzania Interview M-POWER (Off-Grid Electric Coy)

    Mbwila muhiri malato
  13. Apocrita

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Dereva wa Bodaboda, nahitaji mke mwenye Degree angalau mbili

    Mie nna degree 3,, vp cjaqualify?? Hahahahaja
  14. Apocrita

    JamiiForums Tanzania Hidden cancer cures

    Deceotio hongera kwa kaz nzurii,, mwenye kufuata afuate asiyetaka aache,,,, cku zote watanzania hatuaminiani,, ila akija mtu mweupe leo hii akaxema ki2 flan ni tiba ya ugonjwa flan,, wote macho yetu yanakuwa paleeee,,, v2 vngne ni logic tu havhitaj ubishi,,, hivi ukila matunda + vegetables kuna...
Back
Top Bottom