Kweli ni kwamba watu wengi wanao enda training huwa wana pagawa na jengo la m power... watu wana jisahau kua kuna maisha mapya utakayo yaanza ukisha pangiwa mkoa tofauti sasa huko ndio utakutana na na changamoto zakila namna... vijiji vyote ni vyako... kama wewe ni lele mama hii kazi itakua ngumu kwako.. haina ubishoo wala u sister duu, narudia tena utakutana na changamoto kibao.... kuna maisha tofauti sana ukisha toka training be prepared.... ni kampuni nzuri kwa wale wenye vyeo kama junior, seniors ,coordinators, team leaders na mameneja. Wengi wanao maliza training huwa ni Base ambao pay yao huwa ni kati ya 450 adi 500 take home..... wapo wanao fanya kazi mwezi wana aacha wapo wanao komaa mpaka kieleweke plan zao ni kua na wafanyakazi si chini ya 500 kufikia december.