LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 19,900
- 37,686
- Thread starter
- #41
bintishomvi Wapo wanaume wa aina hiyo, usishangae dada angu..[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] jf laha
bintishomvi Wapo wanaume wa aina hiyo, usishangae dada angu..[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] jf laha
Msanga gesti zipo nyingi na usalaama upo wazaramo wako bize na pombe japo wavivu kulima na kutafuta lakini awana tamaa ya wizi pale msanga kuna njia panda ya kwenda chole na vikumbulu nenda ukale wali nazi
Agweyee mya yangu nikuhungile kuniulika?....anyways asante sana kwa taarifa mkuu nitakuja tena msangaSana Mkuu me naishi huku na Dar,nikiona Dar kumebana nakuja huku nina mashamba kbao!Mvua zikianza uje uchukue digi digi na Mzee wa meza kitu cha pori kama unatumia.Karibu Msanga sokoni,nawaona shemeji zangu Wachaga na wapinzani wao Wakinga na Wapemba wanakuja kununua maeneo huku.
Nataka kwenda Msanga, nataka kwenda Msanga oooh nauli sina -Gangwe Mobb "Ngangali Kinoma"
Ukitaka kwenda Msanga lazima uwe ngangali kinoma, la sivyo utarudi na binti wa Kizaramo.
Au unaweza kuhamiabusirudi kabisa wakishakupunga madogoli.
Nataka kwenda Msanga, nataka kwenda Msanga oooh nauli sina -Gangwe Mobb "Ngangali Kinoma"
Ukitaka kwenda Msanga lazima uwe ngangali kinoma, la sivyo utarudi na binti wa Kizaramo.
Au unaweza kuhamiabusirudi kabisa wakishakupunga madogoli.
Ni kweli wazaramo kule ni wachache wengi wao wamekimbikia mijini sababu wanapenda sana raha waliobaki no watu wazima na si walembo sana vizia siku za ijuma mpaka Juma pili wanakuja ngomani ni utachagua unae mtaka pesa yako tu wanapenda vitu viziri balaa bila kusahau angusha pombe ya mnazi nyingi ya kutosha na gongo bia kidogo uku unachungilia mfuko wako unapungua ukipungua nunua gongo bado watakushangilia huku unakandwa kandwa wazalamo kwa mahaba awana aibu ata mbele za watu anakuonyesha mahaba popote yaani kama wazungu vileNiliambiwa kule wanawake ni wachache sana, ni kweli? kw muda nitakao kuwa huko, nitaandaa " ngoma party ya kizaramo", vipi itapata kiki? au ngoma haiwezi fanyika mpaka kuwe shughuli ya kumtoa mwali?
Mwezi wa kumi na mbili na wasita nenda Ila kwa sasa wali awanemi maziwa waziHuko huko ndio Msanga Ngongele? Muda wa kuwacheza na kuwatoa wali ni lini hasa?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] wazaramo watunduKumbuka hizo gari zote mwendo wake kama za magazeti Gesti ziko sh 5000 mpaka 2000 pamechagamka sana kuliko mahali popote ndani ya hiyo wilaya.Huko Zalala nenda mpaka chanika ndo utapelekwa Msanga Zalala.Karibu sana uzaramoni.Ukija wikiend hii kuwa makini unaweza sahau familia,kuna watu wapo huku hawajarudi kwao.
Ulijifanya Wa mjini ukafikiri hao Wa kijijini pole wazaramo ni wajanja sana na wanaongea sana me na ke wote waongeaji na wacheshi ila wavivi na kauoga cha kusubutu na ni watu Wa kulizika na kidogo na awapendi manyanyaso japo ni wavumilivuNiliwai kufanya utafiti kuhusu maswala ya sayansi ya afya mwaka huu mwez Wa saba katika moja ya vijiji huko kisarawe mi nilikua kijiji kimoja kinaitwa kazimzumbwi ni Wa kalimu ila wajuaji sana aise
Ulijifanya Wa mjini ukafikiri hao Wa kijijini pole wazaramo ni wajanja sana na wanaongea sana me na ke wote waongeaji na wacheshi ila wavivi na kauoga cha kusubutu na ni watu Wa kulizika na kidogo na awapendi manyanyaso japo ni wavumilivu
Nitakuwa huko mwezi huoMwezi wa kumi na mbili na wasita nenda Ila kwa sasa wali awanemi maziwa wazi
Jioni tukutane kwa SongoMsanga raha...Maisha yapo chini na fursa zipo kibao ...njooni tuwekeze msanga
Yeah!!Upo Msanga ?