Chausiku siyo Chamchana
JF-Expert Member
- Jan 18, 2016
- 379
- 229
Kwani mtoa post kaweka tangazo na kutokomea kusikojulikana au? Mbona wadau tunaulizia bei lkn hatokei kutoa majibu?
Are u sure? mie nilienda last month nikakuta mapazia mapya na mengi yalikua bold colours hata k.koo sijawahi kuyaona! sasa sijaelewa hiyo common yako unamaanisha nini au ndo tuseme unapenda marangi ya pink,red,yellow et al maana kula ni nadra sana kuyaona.Siyo kweli, oca decco wana mapazia mengi ila siyo mazuri kiivo. Yote waliyonayo mengi ni too common and not of high quality. Mwezi wa 4 nilienda kununua mapazia hapo niliishia kupoteza muda wangu na mwisho nilifanikiwa kupata design na quality nzuri mjini kati.
yaanzia 40elfu,50elfu nakuendelea ila ni mapazia mazuri sana kwa watu wasiopenda rangi za kung'aa ng'aaa ndani.Ni Tsh.ngp kwa mfano kama hayo juu hapo?
So beautiful, safi sanaTunapozungumzia mitindo na utanashati, tunalenga mtu binafsi pamoja na mazingira yanayomzunguka, kuanzia mavazi yake, mwonekano, miondoko, mazingira ya nyumba au makazi, yanayopaswa kuwa katika hali inayoridhisha wakati wote.
Ingawa siyo lazima, lakini ni muhimu mwonekano wa nje wa mtu binafsi kwenda sanjari na mazingira unayoishi bila kusahau nyumba na mpangilio wake kwa jumla.
Katika mitindo leo tumegeukia mwonekano wa ndani ya nyumba hasa pazia pamoja na kufunika madirisha na milango pia pazia hutumika pia kama moja ya mapambo mazuri ya nyumba.
Ili mapazia yawe na mwonekano mzuri ndani ya nyumba ni vyema yakatundikwa kwenye mabomba hayo, ambayo yametengenezwa maalumu kwa ajili ya kazi hiyo.
View attachment 586047 View attachment 586048 View attachment 586049
View attachment 586050
View attachment 586051
View attachment 586052
piece moja? au mbili?yaanzia 40elfu,50elfu nakuendelea ila ni mapazia mazuri sana kwa watu wasiopenda rangi za kung'aa ng'aaa ndani.
Ni kwa moja.piece moja? au mbili?
Kwahio kifupi ni kwamba dirisha moja 80,000 au 100,000/-Ni kwa moja.
Ndio lakini ukipata umepata haswaa!maana ni mazuri na sio common kivile, tena ni vizuri ukibahatisha mzigo ukiwa mpya.Kwahio kifupi ni kwamba dirisha moja 80,000 au 100,000/-
Selling by sample: Unajua hizi mambo hatupendei wala kuzichagua kwa kutest radha, bali muonekano kwa maana ya rangi zake na vinginevyo. Je, mtu akiagiza atapata kulingana na sample iliyoainishwa? Kabla ya kuagiza tuanze kujiweka katika mazingira ya kufanya biashara salama na ya amani.Tunapozungumzia mitindo na utanashati, tunalenga mtu binafsi pamoja na mazingira yanayomzunguka, kuanzia mavazi yake, mwonekano, miondoko, mazingira ya nyumba au makazi, yanayopaswa kuwa katika hali inayoridhisha wakati wote.
Ingawa siyo lazima, lakini ni muhimu mwonekano wa nje wa mtu binafsi kwenda sanjari na mazingira unayoishi bila kusahau nyumba na mpangilio wake kwa jumla.
Katika mitindo leo tumegeukia mwonekano wa ndani ya nyumba hasa pazia pamoja na kufunika madirisha na milango pia pazia hutumika pia kama moja ya mapambo mazuri ya nyumba.
Ili mapazia yawe na mwonekano mzuri ndani ya nyumba ni vyema yakatundikwa kwenye mabomba hayo, ambayo yametengenezwa maalumu kwa ajili ya kazi hiyo.
View attachment 586047 View attachment 586048 View attachment 586049
View attachment 586050
View attachment 586051
View attachment 586052
Kama sh ngapiMazuri mno aisee..kwa wajanja watown nawashauri watembelee Orca Decco yaani wana mapazia ya ukweli alafu unique mno...alafu sio ei kubwa kivile.
Sana mkuusure
Mkuu mimi sijawahi kufanya biashara ya mapazia jamanmiss zomboko umepotelea wapi? Umesahau kuwa ulitangaza biashara ya mapazia? Kuna wadau tuko na maswali kabla ya kutoa order lakini hatumuoni wa kutujibu!
HahahaaaTunapozungumzia mitindo na utanashati, tunalenga mtu binafsi pamoja na mazingira yanayomzunguka, kuanzia mavazi yake, mwonekano, miondoko, mazingira ya nyumba au makazi, yanayopaswa kuwa katika hali inayoridhisha wakati wote.
Ingawa siyo lazima, lakini ni muhimu mwonekano wa nje wa mtu binafsi kwenda sanjari na mazingira unayoishi bila kusahau nyumba na mpangilio wake kwa jumla.
Katika mitindo leo tumegeukia mwonekano wa ndani ya nyumba hasa pazia pamoja na kufunika madirisha na milango pia pazia hutumika pia kama moja ya mapambo mazuri ya nyumba.
Ili mapazia yawe na mwonekano mzuri ndani ya nyumba ni vyema yakatundikwa kwenye mabomba hayo, ambayo yametengenezwa maalumu kwa ajili ya kazi hiyo.
View attachment 586047 View attachment 586048 View attachment 586049
View attachment 586050
View attachment 586051
View attachment 586052
Hahaa si unajua tena mwanamke mzuri hatongozwi! Kwa kuhofiwa kuwa ana mtu!