Recent content by Anti-tozo

  1. Anti-tozo

    JamiiForums Tanzania TRA imeanzisha Mfumo Mpya Unaitwa IDRAS

    Kwangu mie kwa siku ya jana tarehe 27.03.2026 naona bado hawatatua tatizo la msingi wote ambao wako kwenye presumptive tax wanatakiwa kwenda kwenye tax centre zao wakafanyiwe makadirio manual tatizo hili. biashara ndogo ndogo ni wengi mno sasa pata picha wote waende kwenye tax centre zao...
  2. Anti-tozo

    JamiiForums Tanzania POTOSHI Samia: Ngorongoro tumewapa Ndugu zetu waarabu wawekeze

    Sina undugu na mwarabu mie tuheshimiane
  3. Anti-tozo

    JamiiForums Tanzania Maxence Melo: Ofisi za JamiiForums, Mikocheni 'zimevamiwa'

    Maana toka aseme nae ni mtumiaji kazi imeanza
  4. Anti-tozo

    JamiiForums Tanzania Samia: Mohammed Interprises na WATCO kazi imewashida

    😂😂😂😂😂
  5. Anti-tozo

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo walia na INEC, sakata la Mpina kuenguliwa

    Nawaza kwa sauti na sipati majibu ni sheria gani ilimruhusu lowasa kugombea uraisi akiwa chadema akiwa chini ya mwamvuli wa ukawa na ni sheria gani inayomkataa mpina kufanya hivyo 😂😂😂😂?
  6. Anti-tozo

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwamposa achangia milioni 50 Kampeni za CCM Uchaguzi Mkuu 2025

    Sadaka za waumini jamanii
  7. Anti-tozo

    JamiiForums Tanzania Baada ya kuichangai CCM yanga yaona aibu yafunga comment

    Imenisikitisha sana.
  8. Anti-tozo

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ghalib Said Mohamed wa GSM (zamani Home Shopping Center) na wenzake waichangia CCM Sh. Bilioni 10 za Uchaguzi

    Nyie nyie huu ujinga inafanyika tunaangalia tuu.
  9. Anti-tozo

    JamiiForums Tanzania Alphonce Temba, afichua: Nilimshauri Kabila wazime Mtandao wakati wa Matokeo ya Uchaguzi

    😂😂😂😂 pumba kabisa hii.
Back
Top Bottom