Kwangu mie kwa siku ya jana tarehe 27.03.2026 naona bado hawatatua tatizo la msingi wote ambao wako kwenye presumptive tax wanatakiwa kwenda kwenye tax centre zao wakafanyiwe makadirio manual tatizo hili. biashara ndogo ndogo ni wengi mno sasa pata picha wote waende kwenye tax centre zao...
Nawaza kwa sauti na sipati majibu ni sheria gani ilimruhusu lowasa kugombea uraisi akiwa chadema akiwa chini ya mwamvuli wa ukawa na ni sheria gani inayomkataa mpina kufanya hivyo 😂😂😂😂?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.