funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,534
- 31,198
kwa sasa hata wanasimba wasaidikiBasi simba watakasirika
kwa sasa hata wanasimba wasaidikiBasi simba watakasirika
Una mafua au, hii SMS mafuaSiba guvu moya
METL hawakuichangia CCM bilioni 10 kama GSM walivyofanya
Kwa hiyo mpaka awe rais kwa Muhula mwingine ndo atatue matatizo hayo? Elimu ni vazi la akili.Mgombea wa kiti Cha Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM)ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Serikali inaenda kufanya tathimini ya Mashamba ya chai ambayo waliwapatia sekta Binafsi ya Mohammed Enterprises Tanzania Ltd (MeTL) na kampuni ya Wakulima Tea Company (WATCO)kutokana na kushindwa mikataba ya uwekezaji ya kuongeza thamani Chai
Dkt. Samia ameyasema hayo Leo Sept 5,2025 katika uwanja wa Tandare uliopo mji mdogo wa Tukuyu wilayani Rungwe jijini Mbeya Kwenye muendelezo wa Mikutano yake ya Hadhara ya Kampeni za uchaguzi Mkuu 2025
Dkt. Samia amesema kuwa inavyoonekana kampuni hizo kazi hiyo imewashinda hivyo kinachofanyika sasa Serikali imeunda Timu ya kuyafanyia tathimini mashamba na viwanda lengo likiwa ni kuyachukua Mashama hayo pamoja na viwanda ili kuvimilikisha kwenye vyama vya Ushirika.
Hapa mchango harambee haukutoka. Hii ni maajabuMgombea wa kiti Cha Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM)ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Serikali inaenda kufanya tathimini ya Mashamba ya chai ambayo waliwapatia sekta Binafsi ya Mohammed Enterprises Tanzania Ltd (MeTL) na kampuni ya Wakulima Tea Company (WATCO)kutokana na kushindwa mikataba ya uwekezaji ya kuongeza thamani Chai
Dkt. Samia ameyasema hayo Leo Sept 5,2025 katika uwanja wa Tandare uliopo mji mdogo wa Tukuyu wilayani Rungwe jijini Mbeya Kwenye muendelezo wa Mikutano yake ya Hadhara ya Kampeni za uchaguzi Mkuu 2025
Dkt. Samia amesema kuwa inavyoonekana kampuni hizo kazi hiyo imewashinda hivyo kinachofanyika sasa Serikali imeunda Timu ya kuyafanyia tathimini mashamba na viwanda lengo likiwa ni kuyachukua Mashama hayo pamoja na viwanda ili kuvimilikisha kwenye vyama vya Ushirika.
Sasa mkuu wa nchi kaongea hadharani wewe unasema uongo? Nilidhani busara ya akili unge save hii uone kama Mo akikaidi hatanyooshwa? Usicheze na taasisi ya Rais. Akisema hadharani kitu ni ama ujirekebishe haraka au usombwe na mafuriko.Uongo tu kulagai wananchi huyu Dewiji si chawa wake anaweza vipi kumpokonya mashamba?
Unamuamini ?Safi sana
😂😂😂😂😂Siba guvu moya
Hivyo ndiyo amemaliza na hakuna kitu kitaendeleaUnamuamini ?
kama anauwezo afanye, kina mo yamewashindaTayari ROSTAM kashachukua Tenda