Uko sahihi, binafsi huwa nafyatulisha mwenyewe.
Kufyatua kuna FAIDA ndugu.
Mfano,Mwanza.
Saruji, mfuko 1@sh. 21,000/, then mifuko yako 100= sh.2,100,000/ vibarua kwa kila mfuko wa saruji ni sh.5000/
Nafuu ni kuwa utachagua watumie mashine (manual) au watumie mkono tu.
Idadi ya tofali,ratio nzuri...