anthonysamanii
Member
- Feb 23, 2014
- 85
- 49
Habarini wanajamvi !!!
Nipo kwenye tafakuri nzito juu ya chanzo au namna ambavyo nchi flani hujipatie kias chake cha fedha
Inajulikana kuwa kuna nchi mahsus ambayo ndiyo hutengeneza fedha zote duniani..
Hoja.
1 nchi nyingine hutumia utaratibu gani wa kupata fedha hizo???
2 ni kwa kiwango gani ambacho pesa hizo zitazalishwa kw nchi husika mfano Tanzania?
Msaada wanajamvi juu ya hili
Nipo kwenye tafakuri nzito juu ya chanzo au namna ambavyo nchi flani hujipatie kias chake cha fedha
Inajulikana kuwa kuna nchi mahsus ambayo ndiyo hutengeneza fedha zote duniani..
Hoja.
1 nchi nyingine hutumia utaratibu gani wa kupata fedha hizo???
2 ni kwa kiwango gani ambacho pesa hizo zitazalishwa kw nchi husika mfano Tanzania?
Msaada wanajamvi juu ya hili