Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,023
- 52,494
achana nao hao ndo zao kwani mada yako inahusiana nini na jinsia?Ukiheshimu watu wengine haupungukiwi kitu,instead unajijengea na kujiongezea kitu. Kwenu hakuna wakubwa wa kukufundisha heshima kwa wengine? Siombi uniheshimu, laki ni nakushauri jiheshimu kwanza kabla hujaheshimu wengine,unaonekana hujiheshimu wala hujielewa.
