Huduma zikiwa Bora kwenye Kila kituo, hakuna mwanachama atakayehamahama, pia hakuna mtu anayependa kunywa dawa! NB: Huduma na watoa huduma wakiwa makini Hilo halitojitokeza mama
Nafanya hiyo biashara, mwanzo nilianza na laini ya mtu, ila yangu niliipata baadae kwa muda kama wa miezi 6 hivi ila utaipata kwa kuwa na vitu vifuatavyo TIN Number,Leseni ya biashara,kitambulisho mf cha mpiga,na utambulisho toka serikali ya mtaa au kijiji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.