Aina za majini na kazi zake

Aina za majini na kazi zake

Mshana Jr nilikuuliza; Je Mtu aweza kurogwa Na Mtu zaidi ya mmoja? Yaani mfano Watu watatu kila Mtu Kwa namna Na wakati waje wanaweza mroga Mtu mmoja? Au Yule wakwanza aliyeanza ndiye peke Yake uchawi wake utafanya kazi Na wa Hawa wengine utadunda?
Nilikujibu kwamba mfu hawezi kuuawa zaidi ya maramoja, au malaria hayawezi kumuingia mgonjwa wa malaria kabla hajapona
 
Habari na elimu ya majini ni mambo ya kizushi na kusadikika tu.Hakuna binadamu yeyote anaeweza kuthibitisha uwepo wao kwa njia za kisayansi.Mara nyingi vitu ambavyo huwa havieleweki hushabikiwa na watu wengi na kujikita kwenye imani iliojificha(attitude).
 
Habari na elimu ya majini ni mambo ya kizushi na kusadikika tu.Hakuna binadamu yeyote anaeweza kuthibitisha uwepo wao kwa njia za kisayansi.Mara nyingi vitu ambavyo huwa havieleweki hushabikiwa na watu wengi na kujikita kwenye imani iliojificha(attitude).
Tyupa majini ni viumbe roho visivyo na ithibati za kisayansi na hata hiyo sayansi yenyewe end product yake haina ithibati
Kwa mfano unaweza kunijibu Kwa kadiri uwezavyo nini kinafanya gari inatembea?
 
Habari na elimu ya majini ni mambo ya kizushi na kusadikika tu.Hakuna binadamu yeyote anaeweza kuthibitisha uwepo wao kwa njia za kisayansi.Mara nyingi vitu ambavyo huwa havieleweki hushabikiwa na watu wengi na kujikita kwenye imani iliojificha(attitude).

Tyupa majini ni viumbe roho visivyo na ithibati za kisayansi na hata hiyo sayansi yenyewe end product yake haina ithibati
Kwa mfano unaweza kunijibu Kwa kadiri uwezavyo nini kinafanya gari inatembea?
 
tumblr_nx49w6kp9p1uk1xgso1_250.jpg
 
Je watu wawili watatu na zaidi wanaweza kuungana kumroga Mtu mmoja? Na mmoja wapo wa wale wachawi akifa huwa inakuwaje? Je tunguri kazi Yake ni nini?
 
Nazani swali sijaliweka vizuri, Nina maana Kwa mfano Watu wawili watatu Au zaidi wanaweza kula njama / kukubaliana kumroga Mtu mmoja? Na mara unakuta ndugu anakuwepo Kwenye hiyo list, yani mfano Wewe na Mimi tukubaliane kumaharibia Mtu mafanikio Yake labda aachike, Aumwe, aharibu mimba n.k ?
 
Nazani swali sijaliweka vizuri, Nina maana Kwa mfano Watu wawili watatu Au zaidi wanaweza kula njama / kukubaliana kumroga Mtu mmoja? Na mara unakuta ndugu anakuwepo Kwenye hiyo list, yani mfano Wewe na Mimi tukubaliane kumaharibia Mtu mafanikio Yake labda aachike, Aumwe, aharibu mimba n.k ?
Upo kwa baadhi ya matukio yaani mnaungana kilingeni mnakubaliana kumfanyia mtu mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natamani ungefunguka zaidi @ Kaka, usiwajali hao wengine maana sasa huwa najiuliza wanawezaje kupigana vita ya kiroho pasipo kujifunza na kujua namna upande wa pili unavyofanya kazi? Maana imeandikwa vita vyetu si ktk damu na nyama bali ktk falme, mamlaka, sultani za nguvu za giza ...... Story Kama hizi Mtu anaweza kuokota hapo point Matharani dalili za jini Mahaba , makata, etc ikumbukwe kuwa "awereness is empowering "
 
Natamani ungefunguka zaidi @ Kaka, usiwajali hao wengine maana sasa huwa najiuliza wanawezaje kupigana vita ya kiroho pasipo kujifunza na kujua namna upande wa pili unavyofanya kazi? Maana imeandikwa vita vyetu si ktk damu na nyama bali ktk falme, mamlaka, sultani za nguvu za giza ...... Story Kama hizi Mtu anaweza kuokota hapo point Matharani dalili za jini Mahaba , makata, etc ikumbukwe kuwa "awereness is empowering "
Pamoja sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom