Zitto ni CCM 100%Nani kakuambia Zitto alikuwa hafahamu jambo hilo ? Umewahi kujiuliza kwanini Zitto alisalia bungeni wakati wabunge wote wa upinzani wakitoka nje kupinga dhuluma ya Zanzibar ?
Zipo tetesi kwamba hata yeye alitakiwa apewe uwaziri , mgogoro umetokea kwa vile anataka wizara ya fedha , sasa ccm imekuja juu , lakini mazungumzo bado yanaendelea .Zitto ni CCM 100%
Ndege mjanja Zittosasa wengine wanaona kama ACT ni ccm B, wakati Magu anaiua live!!
Jamaa yangu sasa zigo unawachiwa wewe maana waliotumwa kazi maalum tayari wanarudi walikotokaBora wewe umeangalia kwa jicho lingine.
Ni ccm b tu hakuna ubishisasa wengine wanaona kama ACT ni ccm B, wakati Magu anaiua live!!
Masikini kumbe kina lyatonga mpo wengiSisi ACT tukipata fursa ya kueatumikia wananchi tunawatumikia kea kwenda mbele . Aidha, tunakuwa viongozi wa mfano ili wengine waige.
Atakuwa anazunguka mbuyu kufuatia taarifa ya zito kuwa hana taarifa ya uteuzi wa MgwiraNani kakuambia Zitto alikuwa hafahamu jambo hilo ? Umewahi kujiuliza kwanini Zitto alisalia bungeni wakati wabunge wote wa upinzani wakitoka nje kupinga dhuluma ya Zanzibar ?
Jina muruaACT ni gereji bubu ya CCM
Kusifia kila kinachofanywa na mteuzi wakeKwa mfano ni upi uchapakazi wa Msaliti mwenzio Kitila Mkumbo ?
Leo hii katangaza kujiondoa uanachama wa ACT naona ni njia ya kwenda ku renew cad yake ya ccmAngekuwa anakwenda kutekeleza ilani za CCM ingekuwa bora kwa kuwa ilani za vyama vyote vinalenga kuleta maisha bora kwa mwananchi, tofauti ni katika utekelezaji,kibaya zaidi ni pale ambapo atalazimika kuwa kada wa CCM ambaye atalazimika kukipigania chama hicho na mambo yake yote.
Act siyo chama cha upinzaniMimi sioni shida hapa, Mama Mghwira alimpa Magufuli ilani ya ACT. Sasa kama kaamua kuwapa jukumu la kutekeleza ilani waliyompa shida inatoka wapi?!
Wote ni wana ccmAcha kutuchezea akili. Hao wateule humpa taarifa kiongozi wao kabla ya kurudisha jibu kwa rais.
Zitto alikubali na ameendelea kukubali teuzi hizo kufanyika.
Kuchumia tumboNi mtu anayesimamia anachokiamini
UnabwabwajaHujui kuwa wafanyakazi wote serikali wanatimiza Ilani ya Uchaguzi ya CCM?
Hujui kuwa wabunge wanatimiza Ilani ya Uchaguzi wa CCM kwa kupitisha sera za CCM na kuwa sheria za nchi.
Huwezi kujua kwa kuwa nawe ndio walesijaona kosa ACT ni CCM B
UmenenaWala hamna ubaya maana ACT ni Ccm ndani ya upinzani. Ifahamike hiki chama kilianzisha kama mbeleko ya Ccm. Hivuo ni wakimbizi wanarudi nyumbani