Recent content by ANKA

  1. A

    Naomba kujuzwa uandishi wa anuani kwenye maombi ya kazi kwa mfumo wa Ajira Portal

    Hello mambo zenu. Naomba kuuliza, ivi ukiwa kwenye mfumo wa kuomba ajira kwenye portal katika ku apply kazi, zile barua tunazotakiwa kuandika address ya muandikiwa tunaweka ipi? Mfano hapa unaomba ajira EMPLOYER Muhimbili Orthopaedic Institute (MOI) Kwahyo address tunajaza ya muhimbili au...
  2. A

    Naomba tatuzi kuhusu hili la Icloud (apple id)

    Habari, Nilijaribu kuomba kuhusu kufuta apple id yangu, lakini nilifanya kosa (nilitakiwa kusaini out kwanza katika Iphone yangu kabla ya kuifuta) kwa hivyo sasa kila nikijarb ku sign out naambiwa sina apple id kwa maana ya kwamba apple id yangu imeisha futwa. Lakini kwa sasa natumia simu...
  3. A

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Dahh asee asante sana Ontario. Kitu nilichokuwa nikitafta mda mrefu nadhan umekifanyia ufafanuz mzuri. Kwa sababu me nilipitia application ya cm inaitwa IQ Option nikaona kitu iko cha Forex Lakin ckuwa naelewa kitu chochote. Ila mpaka hapo umenifungua kwa 50%. Pia Nina maswal 1. Kuhusu kutoa...
  4. A

    Jinsi ya kupakua videos za YouTube | How to download YouTube videos

    https://videoder.en.uptodown.com/android/download
  5. A

    Tukumbushane katika kupost JF

    Habar wapendwa, ku a baadh ya wadau wakiwa wanapost, mfano anatatizo anataka kusaidiwa jins ya ku root smartphone, yeye katika TOPIC TITLE anaandika *jinsi ya kuroot smartphone* alaf katika ku WRITE SHORT PARAGRAPH ndo anaandika naomba mnisaidie jinsi ya ku root smartphone. Guys ivo sio...
  6. A

    Naweza kusoma ICT?

    Makampun yoyote ya cm mkuu Wanapata.
  7. A

    Jinsi ya kuzuia matangazo kwenye simu

    Mkuu hii mada iko poa. Me nilifanikisha hili. Kesho ntajitaid nielezee vizur. Kikubwa uwe umesha download hii apk inayoitwa lucky patchers katka hii link https://www.luckypatchers.com/download/ maana hii apk haipatikan Google playstore.
  8. A

    Laini mpya za TTCL

    Ni sawa lakn hataka kama uki roaming bado shida iko palepale. Ilo tatizo na kwangu pia lipo na limeanza tangu mwez jana. Pia kuhusu 4G Ni baadh tu ya maeneo
  9. A

    Naweza kusoma ICT?

    Ndio unapata vizur tu
  10. A

    Nikubali au nikatae?

    Nasema achaaa :-( :-( tena acha kabisa
  11. A

    Form 4 na wengine, angalieni hapa!

    nashukuru sana kwa jibu lako zuri. sasa ni wakati wangu kufanyia kazi.
Back
Top Bottom