Uaminifu wa binadamu kwa taasisi iliyomwezesha/inayomwezesha hautokani na umri wake katika taasisi husika. Lini alijiunga nayo rasmi au lini alipata 'kadi' ya uanachama wa chama/taasisi husika. Kama ni mpuuzi ni mpuuzi tu hata kama una degree hadi zinamwagika.By the way BUSARA haina chuo.
:bange:
Binafsi sijaona tatizo la Askofu au Sheikh kumtetea Zito.Mwandishi kaandika vyema kuwa " tutamwomba mungu" ni tofauti kabisa na Mungu.tofauti ni ndogo sana lakini ina maana kubwa.Kila la kheri watumishi wa mungu.Naamini Mungu mwenyewe anajua mwisho kabla ya mwanzo. mungu ye anajua tu mwanzo.:lock1:
Niliwahi sikia tetesi kuwa kiongozi yeyote aliyefikia ngazi ya waziri mkuu analipwa/tunzwa/wezeshwa hadi kufa kwake! Haijalishi ametumikia nafasi hiyo kwa muda gani.Je, ni KWELI? Kama ni kweli naomba kwa anaejua gharama za matunzo kwa mwezi anijuze hata kama haitakuwa sahihi kwa 100% .Pia naomba...
Hama kweli dunia ina mambo!!!! Hivi hata wale vijana wa jeshi la kijani walishindwa kupigania uhai wa regional chief commander?
Inabidi Kamanda Mkuu wa Jeshi la Kijani ajiuzulu ili kupisha uchunguzi,siamini kama mtu mkubwa kama huyu anaweza uawa na waponda kokoto wasio hata na elimu/ujuzi wa...
Ahsante,wote mlioweka mawasiliano yenu,nimehangaika kiasi cha kutosha,leo nimeenda kutafuta msaada kwa Loan Officer wa chuoni kwangu lakini hakuwa na nafasi,awali nilifikiri kwa vile ilikuwa weekend,lakini nimegundua tatizo ni zaidi ya Weekend,ni usiku sasa kwa kudra za Maulana kesho...
Nauliza wadau kabla ya kutoa pole kwa familia ya Marehemu. Naomba mwenye majibu anisaidie.
1. Kwani alishaiona hukumu ya Mahakama ikimpa ushindi dhidi ya wananchi?
2.Kama ni NDIYO/HAPANA. Ametoa wapi jeuri ya kwenda kupanda miti na kuanza kuweka msingi ile hali ni mtu mzima na akili zake...
Nimejaribu kujaza upya form ya kukata rufaa maombi ya mkopo-HESLB,ajabu personal information zinakuja lakini sipati 'option' ya kuniruhusu kujaza maelezo mengine kama ilivyoelekezwa ktk tangazo la Bodi.
Kwa yeyote mwenye uzoefu tafadhali msaada wa haraka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.