hata mi namkumbuka mwalimu wangu wa kingereza kwa jina aliitwa Mwalimu Kataga, sijui yuko wapi huyu jembe...alikuwa akifundisha usipoelewa basi we ni kiazi! Hii ni kwa wale waanzilishi wa sekondari yaJaman nimemkumbuka madam Msela FORODHANI SEC,
Nakumbuka lerioka alipokuwa akimwambia mwanaye " my beat is bitter like the fruit of osokoni tree"
ndugu, aliesema maneno hayo ni kariankei ole sururu, babaye relionka. kisa kilichonisikitisha ni cha pello kuwatelekeza relionka na lekakeny baada ya the later kugongwa na nyoka msituni. baada ya kuokolewa na jamaa waliokua wamatoka arusini hadi kijijini, pello akapata wivu, akataka kumwua lelionka,alichokipa pello kutoka kwa wamakijiji, hatakisahau
hata mi namkumbuka mwalimu wangu wa kingereza kwa jina aliitwa Mwalimu Kataga, sijui yuko wapi huyu jembe...alikuwa akifundisha usipoelewa basi we ni kiazi! Hii ni kwa wale waanzilishi wa sekondari ya
Bogwe kule Kasulu Kigoma!
oooh ghosh, what a pity...wamekifuta? hakika kizazi hiki kitakuwa kimekosa mahudhui matamu sanakutoka katika kitabu hiki,tuliobahatika kukisoma tuna mengi ya kujikumbusha.
Ilikuwa miaka ipi hiyo mkuu? maana inaonekana vichwa vyenu mlipokuwa la pili tu mliweza kukimudu .
Listen u boys my clan is bitter like a tree of osokonoi nakumbuka mbali sana.......
Mie nakumbuka tulitengeneza maelezo yafuatayo yakijumuisha vitabu kadhaa...
Is it possible for an An African child to cross the liver between the great pond while things are falling apart...?
No longer at easy.