ha ha ha - aise umenifurahisha sana.aende mwana kwenda! bado yule anayekeketa meno tembo wetu! wauwawe tu kwa kweli, puuuuuuuuuuuuuuu!
ha ha ha - aise umenifurahisha sana.aende mwana kwenda! bado yule anayekeketa meno tembo wetu! wauwawe tu kwa kweli, puuuuuuuuuuuuuuu!
Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM mwanza bwana Clement mabina atazikwa Ijumaa huu mazishi ya mtoto aliyepigwa risasi na mabina akizikwa leo, bwana mabina maarufu kama "Wembe" aliuawa na wananchi wenye hasira kali kufuatia hisia za dhuruma na ubabe zilizokuwa zinataka kufanywa na mabina dhidi ya wananchi hao.
Ikumbukwe kuwa, kesi ilikuwa mahakamani na imechukua miaka 15 hadi sasa hata haijaisha na kuna tetesi kuwa aliiweka mahakama mfukoni, wakazi wengi wa mwanza wanajiuliza inakuwaje kesi kama hiyo ichukue miaka 15 miaka ya mtu mzima? tatizo ni nini? ushahidi? mlima si upo?
Mabina anaelezwa kuwa alikuwa jambazi sugu na mbabe sana kabla ya kujificha ndani ya mwavuli wa chama, alipewa jina la "wembe" likiwa na maana kwamba mtu wowote anaweza kukukata.
Mabina ana mashamba mengi sana ya mpunga MAGU, na ana mashamba kule Lamadi, na anaaminika kuwa na vitalu vya madini hapa nchini.
Mlima uliosababisha mauti yake ulikuwa unatumiwa na wakazi wa eneo hilo kupasua mawe na kototo na kuyauza ili wajikimu kimaisha ikiwemo kusomesha watoto wao, kula, kuvaa, kujenga nyumba nzuri, na ajira.
Hakika ni mtikisiko sana ndani ya chama na serikali kwani kuuawa na wapiga kura wako tena ndani ya kata au eneo lako si kitu kidogo kwa chama.
Mwache aende zake maana hawa watu wanajiona kuwa wao ndio wenye hatimiliki ya Nchi hii na pumzi yetu sisi wanyonge,na kaburi lake linatakiwa lichimbwe 20ft ili kusiwepo na uwezekano wakutoka kabisa huko,nyambafu.
Hahaha nimecheka sana. Mi naona likishachimbwa futi 20 limiminiwe zege maana haya majitu hayaaminiki linaweza toka hilo lijamaa
CCM acheni kuzuga nendeni mkamzike kada wenu..au kwa vile sio dini yetu? Angekuwa dini yetu hata bendera zingepeperushwa robo mlingoti.