Yaani!!! Hivi inakuwa ni kitu gani? Ndio hormones ama!?
Yaani we km mm, nilikuwa na kilo hizo ulizozitaja, nikifika nyng basi hizo 50
Saivi napambana na kupunguza kilo mpk na give up
Halafu kuna watu unakuta wanapeta tu, wao muonekano haubadiliki na hawana bidii yyt 😒
Nani kasema? Njegere ni kama maharage au choroko. Waweza zipika zenyewe kama mboga au Waweza kufanya km kiungo katika vyakula vengine. I love njegere however zinavopikwa 😋
Uzuri sio kupendwa wala kuwa na bahati. Bahati kitu chengine kabisa
Kama hao Wasafi media ndio wanam promote still hizo sio shida zake.
Mtu km hujakaa nae ukamjua tabia zake na roho yake, usimsemee tu kwa sbb ya muonekano wake. Kuna watu wana vitu within na wana nyota ya kupendwa regardless...
Sasa kuna na hizo ngoma, wanaita vigodoro sijui. Wtt nao wanakuwepo, kina mama wanasasambua na wtt wapo. Na inaonekana kuna na mengineyo yanafanyika wtt nayo pia wanayaona. Uchafu mtupu na laana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.