Recent content by Angel Nylon

  1. Angel Nylon

    JamiiForums Tanzania Good old days

    Usiombe kuongezeka, utaliaa
  2. Angel Nylon

    JamiiForums Tanzania Good old days

    Yaani!!! Hivi inakuwa ni kitu gani? Ndio hormones ama!? Yaani we km mm, nilikuwa na kilo hizo ulizozitaja, nikifika nyng basi hizo 50 Saivi napambana na kupunguza kilo mpk na give up Halafu kuna watu unakuta wanapeta tu, wao muonekano haubadiliki na hawana bidii yyt 😒
  3. Angel Nylon

    JamiiForums Tanzania Wana Yanga Shalulile kaja kuwaharibia timu

    Nashindwa kuwaelewa
  4. Angel Nylon

    JamiiForums Tanzania Story za kijiweni 😂

  5. Angel Nylon

    JamiiForums Tanzania Wapishi kuna somo lenu hapa kidogo

    Nani kasema? Njegere ni kama maharage au choroko. Waweza zipika zenyewe kama mboga au Waweza kufanya km kiungo katika vyakula vengine. I love njegere however zinavopikwa 😋
  6. Angel Nylon

    JamiiForums Tanzania JF ina pisi Kali, kuna niliowaona Kwa macho yangu, sijawahi kutana na Mzee

    Unakunywaje chai na sukari imeadimika au kwenu ipo?
  7. Angel Nylon

    JamiiForums Tanzania Ni kitu gani utaiachia Dunia kabla ya kuondoka kwako?

    Kwamba The Icebreaker atakuwa kama min -me ?
  8. Angel Nylon

    JamiiForums Tanzania Ni mchallange vipi huyu mtoto maana akili yake imevuka mipaka ya elimu na hataki shule

    Kwani mama mtoto anasemaje? mtt wa kiume nini? mana hao umri huo ndio pasua kichwa
  9. Angel Nylon

    JamiiForums Tanzania Kauli Ambazo watu hujisemea Moyoni kama masihara ila kweli inawauma na wanamaanisha Wakiona Video za Chumba cha Hospitali cha Zuchu na Mtoto Wake

    Uzuri sio kupendwa wala kuwa na bahati. Bahati kitu chengine kabisa Kama hao Wasafi media ndio wanam promote still hizo sio shida zake. Mtu km hujakaa nae ukamjua tabia zake na roho yake, usimsemee tu kwa sbb ya muonekano wake. Kuna watu wana vitu within na wana nyota ya kupendwa regardless...
  10. Angel Nylon

    JamiiForums Tanzania Kauli Ambazo watu hujisemea Moyoni kama masihara ila kweli inawauma na wanamaanisha Wakiona Video za Chumba cha Hospitali cha Zuchu na Mtoto Wake

    Anaji overate au ana bahati? Mie naona kama wanayofanya watu towards her ni kuwa wanampenda na sio kama anaji overate
  11. Angel Nylon

    JamiiForums Tanzania Waziri Gwajima okoa hawa watoto wanaharibiwa

    Sasa kuna na hizo ngoma, wanaita vigodoro sijui. Wtt nao wanakuwepo, kina mama wanasasambua na wtt wapo. Na inaonekana kuna na mengineyo yanafanyika wtt nayo pia wanayaona. Uchafu mtupu na laana
Back
Top Bottom