Kwenye documentary niliyoangalia Netflix. Kuna mhanga anaeleza kisa chake na yaliyompata kwenye kisiwa cha Epstein, anasema Michael Jackson na Cris Tucker alikuwemo kwenye safari ya kuja Africa. Lkn anasema hakuwaona kufanya uovu wowote. Just walisafiri tu kuja Africa na kurudi
Basi kusema kuwa arusi haijagharimu hata 50000 sio kweli. Elfu 50 hata kama dhifa kisheti na kahawa basi haitoshi wacha kuandika uongo, utadhani weye ndio ulikuwa mshika fedha wa shughuli
Ndoa na Ijabu na Qabul...hizo nyengine zote ni mbwembwe tu.
Na hio kwa Dini zote sio uislam tu.
Halafu boss Kipepe hio arusi ulioenda wewe sema ni ya watu wa hali ya chini na sio kwa sbb ya waislam. Kuna arusi zinafanyika za waislam kubwa sana zinagharimu mamilioni ya pesa tena arusi inafanyika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.