Recent content by Angel Nylon

  1. Angel Nylon

    Ubaguzi ninaoupata Zanzibar, wakija Dar nitawapa haki yao

    Kwa hio panya na mends ndio wasafi!!!?
  2. Angel Nylon

    Ubaguzi ninaoupata Zanzibar, wakija Dar nitawapa haki yao

    Sio kwa zanzibar ya sasa mkuu. Mchanganyiko ni mkubwa, kuna mitaa wabara wapo wengi sawa na hao wazanzibari. Ubaya wa mtu hauangalii ubara wala uzanzibar. Maana kuna wazanzibari wengine wanabaguana hata wao kwa wao. Na hio khulka hata bara pia ipo. Unataka kuniambia hakuna mbara hata mmoja ana...
  3. Angel Nylon

    Ubaguzi ninaoupata Zanzibar, wakija Dar nitawapa haki yao

    Huo sasa ubaguzi, una agenda zako na wewe...uliposema hapo bora ukodishe panya kwa kuwa hio nyumba ina nini kikubwa? Hao watanganyika wanaokuja zanzibar, wazanzibari nao wangesema hawawakodishi bora wakodishe panya si wangelala barabarani. Maana watanganyika wengine wanakuja zanzibar hawana hata...
  4. Angel Nylon

    Ubaguzi ninaoupata Zanzibar, wakija Dar nitawapa haki yao

    Pole sn, hio ofisi upo mbara pekee yako? Maana kwa mchanganyiko wa sasa kwa huku zanzibar na watu wa bara wanapata wapi nafasi ya kukubagua. Umekutana na watu wenye roho mbaya..usilipize kwa wengine maana sio wote wapo hivyo
  5. Angel Nylon

    Paka kunifatafata ni jambo la kawaida?

    Hapana. Walivozaliwa walikaa ndani km 3 weeks au 4 weeks. Then wakawa wanakaa nje na mama yao na huyo mwengine mkubwa alozaliwa mwaka jana. Walikuwa wapo sawa kabisa, wananyonya, wanakula na wanacheza vizuri tu tena watundu ajabu. Hata wtt walivoniambia mama paka anatapika.. huyo aloanza kuumwa...
  6. Angel Nylon

    Paka kunifatafata ni jambo la kawaida?

    Mie akilia chini ya miguu na kichwa kakiinua ananiangalia huwa natulia kumskiliza. Na huwa namuuliza unataka nini mama, una njaa au una kiu. Au unanisalimia hujaniona muda mrefu. Kama huyu aliepoteza wenzie wote unamhisi km ana huzuni na upweke maskin anatia huruma.
  7. Angel Nylon

    Paka kunifatafata ni jambo la kawaida?

    Asante sana ndugu. Au alivisusa vile umevigusa?
  8. Angel Nylon

    Paka kunifatafata ni jambo la kawaida?

      Labda ni virus au wamekula chakula kibaya. Lkn sumu no...wamo kwenye compound, hawatoki hata kwa bahati mbaya na kwangu pia haiingii stranger yyt yule, gate lipo locked full time. Asante sana, nimepoa. Tumelia sana, mpk dada wa kazi kalia. Mana sote cat lovers
  9. Angel Nylon

    TMA wakitoa tahadhari ya hali mbaya ya hewa shule zifungwe kwa kipindi hicho, tusisubiri wengine wazame tena

    Basi ni vyema kwenye ratiba ya mwaka shule zifungwe myongo wa mvua kubwa.
  10. Angel Nylon

    Must see Movies

    Netflix dada
  11. Angel Nylon

    UKIMWI upo ndugu zangu

    Huyo wa kukutana nae kwa mara ya kwanza at least angetumia kinga. Ila kwa mtu wako hakuna namna km kaamua kukucheat...lkn pia kuna haja ya kujenga utaratibu w kupima. Just ushauri tu ingawa tunaishi kwa kuaminiana sana bila ya kujua kila mmoja ana dhamira gani kwa mwenziwe
  12. Angel Nylon

    Paka kunifatafata ni jambo la kawaida?

    Huyu ndio kafia hospital, tulijua atapona lkn haikuwa rizk 😭😭😭
  13. Angel Nylon

    Paka kunifatafata ni jambo la kawaida?

    Nimepoteza paka wanne ndani ya week 1, wameumwa hatujui nini mpk Leo...kutapika, kukosa appetite ht maji walikuwa hawawezi kunywa. Watatu wadogo wana km 2 months tu, na mmoja mkubwa kiasi alizaliwa mwaka jana. Kabaki mama yao tu na hivi km mwezi nilimfungisha uzazi. Yaani naandika hapa machozi...
  14. Angel Nylon

    Hivi ni kwanini bei ya samaki ni ghali sana maeneo ya pembezoni mwa bahari

    Mie nna waswas hata hao wavuvi sijui kama wanakula hao samaki Zanzibar vibua 4 elfu 10 kweli. Wakati zamani kdg tu hapo hio elfu 10 unapata ndoo nzima ta vibua
Back
Top Bottom