Sio kwa zanzibar ya sasa mkuu.
Mchanganyiko ni mkubwa, kuna mitaa wabara wapo wengi sawa na hao wazanzibari. Ubaya wa mtu hauangalii ubara wala uzanzibar. Maana kuna wazanzibari wengine wanabaguana hata wao kwa wao.
Na hio khulka hata bara pia ipo. Unataka kuniambia hakuna mbara hata mmoja ana...
Huo sasa ubaguzi, una agenda zako na wewe...uliposema hapo bora ukodishe panya kwa kuwa hio nyumba ina nini kikubwa?
Hao watanganyika wanaokuja zanzibar, wazanzibari nao wangesema hawawakodishi bora wakodishe panya si wangelala barabarani. Maana watanganyika wengine wanakuja zanzibar hawana hata...
Pole sn, hio ofisi upo mbara pekee yako?
Maana kwa mchanganyiko wa sasa kwa huku zanzibar na watu wa bara wanapata wapi nafasi ya kukubagua. Umekutana na watu wenye roho mbaya..usilipize kwa wengine maana sio wote wapo hivyo
Hapana. Walivozaliwa walikaa ndani km 3 weeks au 4 weeks. Then wakawa wanakaa nje na mama yao na huyo mwengine mkubwa alozaliwa mwaka jana. Walikuwa wapo sawa kabisa, wananyonya, wanakula na wanacheza vizuri tu tena watundu ajabu. Hata wtt walivoniambia mama paka anatapika.. huyo aloanza kuumwa...
Mie akilia chini ya miguu na kichwa kakiinua ananiangalia huwa natulia kumskiliza. Na huwa namuuliza unataka nini mama, una njaa au una kiu. Au unanisalimia hujaniona muda mrefu. Kama huyu aliepoteza wenzie wote unamhisi km ana huzuni na upweke maskin anatia huruma.
Labda ni virus au wamekula chakula kibaya. Lkn sumu no...wamo kwenye compound, hawatoki hata kwa bahati mbaya na kwangu pia haiingii stranger yyt yule, gate lipo locked full time.
Asante sana, nimepoa. Tumelia sana, mpk dada wa kazi kalia. Mana sote cat lovers
Huyo wa kukutana nae kwa mara ya kwanza at least angetumia kinga.
Ila kwa mtu wako hakuna namna km kaamua kukucheat...lkn pia kuna haja ya kujenga utaratibu w kupima. Just ushauri tu ingawa tunaishi kwa kuaminiana sana bila ya kujua kila mmoja ana dhamira gani kwa mwenziwe
Nimepoteza paka wanne ndani ya week 1, wameumwa hatujui nini mpk Leo...kutapika, kukosa appetite ht maji walikuwa hawawezi kunywa. Watatu wadogo wana km 2 months tu, na mmoja mkubwa kiasi alizaliwa mwaka jana. Kabaki mama yao tu na hivi km mwezi nilimfungisha uzazi. Yaani naandika hapa machozi...
Mie nna waswas hata hao wavuvi sijui kama wanakula hao samaki
Zanzibar vibua 4 elfu 10 kweli. Wakati zamani kdg tu hapo hio elfu 10 unapata ndoo nzima ta vibua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.