Recent content by Angel Nylon

  1. Angel Nylon

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania WANAUME: Zipi ni turn-offs kwako kwa mwanamke?

    Tunaambiwa mguu wa kutoka mtume kauombea 🤣 Yawezekana ukitoka ndio ukapata
  2. Angel Nylon

    JamiiForums Tanzania Mwili haujengwi kwa tofali. Sea never dries

    Ha haaa haaa, hadi uji wa lishe unapikiwa! Kweli huyo kadhamiria 😅 Akuongezee na supu ya pweza, kamba na kaa. Bila kusahau na juice ya tende na stafeli 🤣🤣🤣
  3. Angel Nylon

    JamiiForums Tanzania Mwili haujengwi kwa tofali. Sea never dries

    Una uhakika huyo ni binaadam? Au kuna viagra vya wanawake anatumia!!! 🤣🤣🤣 30 days haingii P? Au ndio mshangazi hadi P ishakata!?
  4. Angel Nylon

    JamiiForums Tanzania Inachukua muda gani kupata mkopo wa biashara kwenye benki kubwa NMB, CRDB & NBC

    48 hrs, not more than a week
  5. Angel Nylon

    JamiiForums Tanzania WhatsApp Status yangu

    Yaani 😍😋🤑🤑🤑
  6. Angel Nylon

    JamiiForums Tanzania Tupac aliwaza mbali sana kuhusu suala la kuleta watoto duniani

    Dunia ina uovu na waovu tu? Hamna other sides? Naona watu hawataki kuondoka, ni wachache wenye uthubutu na ujasiri wa kujiondosha wenyewe. Tuliobaki tunatamani tuishi hata miaka buku, Dunia tamu we askwambie mtu
  7. Angel Nylon

    JamiiForums Tanzania WhatsApp Status yangu

    Nilidhani hio imeingia kwenye mapochopocho 😂😂😂 Bila kusahau na mziki 🎶
  8. Angel Nylon

    JamiiForums Tanzania Wakisema ambao hawajashika Mil 10 toka mwaka uanze vipi utatoka?

    Kushika au kumiliki? Mana kama kushika wengine washashika mpk 5B tangu mwaka uanze ila kumiliki hio 10M ndio kipengele
  9. Angel Nylon

    JamiiForums Tanzania Tupac aliwaza mbali sana kuhusu suala la kuleta watoto duniani

    Confusing 😕
  10. Angel Nylon

    JamiiForums Tanzania WhatsApp Status yangu

    Kupost mapochopocho 60% My photo when am happy 10% Memes 10% Dini 10% mapenzi 10%
  11. Angel Nylon

    JamiiForums Tanzania Hivi wazazi mnaoleaga hivi watoto huwa mnajielewa kweli?

    Sahihi, watoto ni waelewa kuliko tunavyofikiria, na kupiga mara kwa mara pia unamfanya awe sugu na nunda. Kuna mijitu mtt wa miaka 2-3 kitu kidogo inawatandika migumi ya mgongo....sijui wanakuwa wamewapata bahati mbaya! Ila wazazi vijana wanazingua sometimes, yawezekana mtt anapewa simu ili...
  12. Angel Nylon

    JamiiForums Tanzania WhatsApp Status yangu

    Hii mbona ishazidi 100% 🤣 🤣 🤣
  13. Angel Nylon

    JamiiForums Tanzania Staili za ulaji koni

    Confusing
  14. Angel Nylon

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama Familia yenu mnaishi kwa upendo, mshukuruni sana Mungu

    😪
Back
Top Bottom