Ha haaa haaa, hadi uji wa lishe unapikiwa! Kweli huyo kadhamiria 😅
Akuongezee na supu ya pweza, kamba na kaa. Bila kusahau na juice ya tende na stafeli 🤣🤣🤣
Dunia ina uovu na waovu tu? Hamna other sides?
Naona watu hawataki kuondoka, ni wachache wenye uthubutu na ujasiri wa kujiondosha wenyewe. Tuliobaki tunatamani tuishi hata miaka buku, Dunia tamu we askwambie mtu
Sahihi, watoto ni waelewa kuliko tunavyofikiria, na kupiga mara kwa mara pia unamfanya awe sugu na nunda. Kuna mijitu mtt wa miaka 2-3 kitu kidogo inawatandika migumi ya mgongo....sijui wanakuwa wamewapata bahati mbaya!
Ila wazazi vijana wanazingua sometimes, yawezekana mtt anapewa simu ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.