Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 18,881
- 29,383
Mh Waziri Dkt. Gwajima D
Watoto umri chini ya miaka 14 wanashiriki ngoma zisizo na maadili. Kama wizara yako hatachukua hatua sitahiki tutegemee taifa la machoko baadaye
Dada kuna mtu amekupenda kaweka uzi umeuona 😂Sipendi hii tabia ya kuwachukua watoto wadogo na kuwapeleka kwenye shughuri za uswazi, km vigoma vya uruguwai, na shengesha zingine.
Km kuharibika aharibike mwenyewe ukubwani na kwa matakwa yake binafsi, sio kuwaandaa mapema hivi kuharibika, huyu mtoto ni mdogo na anapaswa awe shule azingatie ndoto zake za baadae.
Mamlaka husika ichukue sheria na ifate mkondo wake.
😂😂😂 ni heka heka za JF tuu. WoiiihDada kuna mtu amekupenda kaweka uzi umeuona 😂
Msikilize jamaa huenda yuko serious au vipi?😂😂😂 ni heka heka za JF tuu. Woiiih
Hili ni suala mtambuka tusiiachie wizara peke yake. Naamini shughuli zote za kijamii mitaani ziko chini ya KatibuKata/ Mtendaji. Wanapaswa kuweka DISCLAINER kuhusu watoto wanapotoa hivyo vibaliSipendi hii tabia ya kuwachukua watoto wadogo na kuwapeleka kwenye shughuri za uswazi, km vigoma vya uruguwai, na shengesha zingine.
Km kuharibika aharibike mwenyewe ukubwani na kwa matakwa yake binafsi, sio kuwaandaa mapema hivi kuharibika, huyu mtoto ni mdogo na anapaswa awe shule azingatie ndoto zake za baadae.
Mamlaka husika ichukue sheria na ifate mkondo wake.
Naunga mkono hoja.Hili ni suala mtambuka tusiiachie wizara peke yake. Naamini shughuli zote za kijamii mitaani ziko chini ya KatibuKata/ Mtendaji. Wanapaswa kuweka DISCLAINER kuhusu watoto wanapotoa hivyo vibali
Hapanaa.Msikilize jamaa huenda yuko serious au vipi?
Anajua uko single 😂 au nimepatia?Hapanaa.
Hayo mambo ya chumbani watoto wanayajuaje?
Sasa kuna na hizo ngoma, wanaita vigodoro sijui. Wtt nao wanakuwepo, kina mama wanasasambua na wtt wapo. Na inaonekana kuna na mengineyo yanafanyika wtt nayo pia wanayaona. Uchafu mtupu na laanaHayo mambo ya chumbani watoto wanayajuaje?
Zamani ilikuwa mkitaka kuonjana na wife, ilikuwa watoto wanaambiwa wakacheze mbali na wakati mwingine wazazi mnawasha redio mkulima yenu ili watoto wasisikie ya chumbani
Wazazi wa miaka hii kuna mahali wanafeli
Hizi mambo zipo sana huku Pwani, siku ikitokea bahati mbaya nimezaa mtoto na mwanamke wa Pwani, mtoto akifika miaka 3 tu namtoa kwa Mama yakeSasa kuna na hizo ngoma, wanaita vigodoro sijui. Wtt nao wanakuwepo, kina mama wanasasambua na wtt wapo. Na inaonekana kuna na mengineyo yanafanyika wtt nayo pia wanayaona. Uchafu mtupu na laana