Wana Yanga Shalulile kaja kuwaharibia timu

Wana Yanga Shalulile kaja kuwaharibia timu

Halafu wale jamaa itakuwa kuna dau mliwapa wakishinda wanaenda nazo, mbona waliucharanga mpira kama karanga
 
Sisi Simba yule Osimhen tumepigwa pale aisee tufanyeni mpango wa Straika la sivyo tarehe. 12 tutakimbiana
 
Sisi Simba yule Osimhen tumepigwa pale aisee tufanyeni mpango wa Straika la sivyo tarehe. 12 tutakimbiana
Nashindwa kuwaelewa
1786268563595.jpg
 
Back
Top Bottom