Wanaume wameumbwa kiutawala pamoja na nguvu yote hiyo wakawekewa udhaifu mmoja mapenzi
Hakika nawaambieni hakuna mwanaume jeuri kwa mwanamke mnyenyekevu na hakuna mwanaume mtulivu kwa mwanamke jeuri.
Sasa we jifanye gali la matangazo ndani ya nyumba uone kitakachokukuta
Mwanamke hawezi kuolewa na wanaume wawili kwa sababu haiwezekani akabeba mimba ya wanaume wawili kwa wakati mmoja lakini mwanaume anaweza kuwapa mimba wanawake wawili na bado maisha yakaendelea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.