Joowzey
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 13,164
- 13,549
Mtu ukishafikia uwezo wa kumiliki gari la aina hii,Wadau nafikiria kumiliki huyo mnyama. Za mwaka 2010-2014 bei gani yard? Naomba kujua risk zake na advantages Zeke. Mi najua moja ya ulaji wa mafuta
huwezi kuwa na mawazo kama haya ya kuulizia advantages zake na risk wala kuulizia mafuta
