Recent content by Anaruditena

  1. A

    JamiiForums Tanzania MGOGORO: Malumbano ya UVCCM, Viongozi wastaafu na Hatima ya CCM

    Hakuna kuona huruma - acha CCM isambaratike kwa makundi; nchi itapona kwani wataanza kuubuana.
  2. A

    JamiiForums Tanzania Afande Sele amchana Kikwete kavukavu!

    Kwa nini watu wengi tunasilika ya kuto-akcnowledge failures zetu - na mara nying tunasukumia wengine. Dhambi ya Adamu na Eve inatuumiza sana. Ni nyoka ndiye kanidanganya (Eve) ; ni huyu mwanamke ndiye kanipa tunda(Adam). Sasa JK kashindwa uongozi- anasema eti sababu yeye ni mslimu ( wakati...
  3. A

    JamiiForums Tanzania Kikwete: Tutatumia mkongo kufundishia wanafunzi

    "Tukiziunganisha shule zetu kwenye mkongo wa taifa ambao mpaka kufikia Juni mwaka huu utakuwa umekamilika" Ndugu Spika Rais wa nchi anaposema uongo kwa wananchi kanuni inasemaje; leo ni mwezi wa tatu imebakia miezi 3 shule zote zitakuwa kwenye mkongo wa taifa- mkongo wenyewe huko wapi hadi...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Wabunge waipinga bajeti ya 2011/12

    Rafiki Filipo: Bajeti iko katika shilingi and deni ni katika dola; wajuku na wajuku watalipa lini hilo deni na tumefikaje hapo kwa mambo yapi? mafisadi wamekula zote na walipaji eti watanzania wote!
  5. A

    JamiiForums Tanzania Hatimaye CCM yatimiza ahadi; Bajaji za Wagonjwa zapokelewa rasmi

    Mawazo mgando ya serikali ya CCM: pikipiki kutumika kama ambulance; Waganga/wachawi wa mvua, PM anashangaa nyumba za tembe Ngara, Mmiliki wa Downs Rais hamjui na anakiri Richmond ni kampuni hewa. Pima akili za hawa watu; then ni kuwaombea pepo yawatoke tu au kuwapeleka wote kwa Babu wakanywe dawa
  6. A

    JamiiForums Tanzania Kada CCM: Serikali ndiyo inayochochea machafuko

    Wanatumia njia siositaiki kujibu CDM - Watanzania wanataka maisha yao yaboreshwe. sio kuwapa uongo mara tatu kwa kutwa kama panadol( kupunguza maumivu). Serikali haina msemaji, wote wanasema ovyo ovyo tu.
  7. A

    JamiiForums Tanzania Maandamano ya CHADEMA Karagwe

    Hii hamasa itadumu hadi 2015? - matokeo ya muda mfupi wa hii hamasa ni lini? Wananchi wasije kuchoka CDM kama walivyokwisha choka CCM kwa maendeleo ya maisha yao.
  8. A

    JamiiForums Tanzania Wazungu ni wajinga au wana hela za kuchezea?

    rafiki hiyo pesa ni chambo, ili wavue samaki wengi zaidi. hakuna msaada wa bure dunia hii!
  9. A

    JamiiForums Tanzania Reax to Jakaya's Speech

    Selemani - ametiwa hofu na hotuba ya JK. My friend be strong and courages, we must cross Jordan river
  10. A

    JamiiForums Tanzania Mishahara serikalini kulipwa dirishani

    Hiyo ndio njia ya ufanisi kweli! Viongozi wetu -hili sio wazo ni ujima
  11. A

    JamiiForums Tanzania Pinda Bungeni - Taarifa ya Mabomu kulipuka, Bunge laahirishwa

    Jk ni msoga kila wiki. Ni udini tu. Mabomu mimi sijui na watu wamekufa mimi sijui. CCM lazima kujizatiti upinzani unakuja juu sana
  12. A

    JamiiForums Tanzania Prof. Maji Marefu Bungeni aonya waganga wa jadi kutodharauliwa

    Ndio CCM - na serikali yake. Watu wanasafiri na viti vya kukalia -hakuna hofu ya Mungu kabisa
  13. A

    JamiiForums Tanzania January Makamba akataa bahasha za milioni moja za "Lunch"

    Huyu kijana hakuna lolote ni unafiki mtupu - Pesa la Rostam mbona hakurudisha. Kuna tetesi kesha pewa zawadi ya biashara na Rostam ( Vodacom shop) - mbona hakurudisha. Siasa hiyo
  14. A

    JamiiForums Tanzania Kwa logic ya Pinda: Kulikuwa hakuna hata haja ya kuwa na uchaguzi mkuu

    Mfano mwingine - CCM wanasema in wanachama million tano; je walimchagua JK wote? akili za Ki-CCM hizo. Na hapakuwa na haja ya kufanya uchaguzi, CCM ilikuwa na wanachama wengi kuzidi vyama vingine. Je Matokeo yalikuwaje? Pinda ana elimu ya shule za kata!
  15. A

    JamiiForums Tanzania Madikteta wote duniani hufanana

    Imetulia: post hii Mwanahalisi wananchi wasome
Back
Top Bottom