Recent content by amoneyazan

  1. amoneyazan

    Nataka kufuga nyuki kisasa

    Sikulijua hili mkuu, Unaweza fahamu sababu gani inapelekea hili kitalaam?
  2. amoneyazan

    Nywila (Password) ya Maisha

    Sahihi asilimia sifuri 🤔🤔🤔?!
  3. amoneyazan

    Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

    Share link kiongozi, kama kuna namna tunaweza ipakua hiyo movie
  4. amoneyazan

    Je, ni kweli muislamu akibadilisha dini adhabu yake ni kifo?

    Vyema sana, Japo mimi sio muislamu nimependa ulivyojibu kwa kujizatiti katika kile ulichokisoma na unachokiamini kwa unyenyekevu. Umefanya niukumbuke mstari mmoja katika Biblia, nanukuu " Muwe tayari siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo ndani yenu; lakini kwa upole na...
  5. amoneyazan

    Jiepushe na mtego huu katika familia

    Duuh kuna mzimu wa Familiy tree [emoji268] tena!??
  6. amoneyazan

    Jiepushe na mtego huu katika familia

    Hivi Nyamikoma iko wapi!? Hili jina sio geni maskioni mwangu..
  7. amoneyazan

    Wale wa madish ya ku-band na C- band pamoja na receiver pitia hapa

    Walikujibu mkuu!?? Nataka majibu pia naona uzi umepoa kwa takribani miaka miwili Au siku hizi satelite receivers hazipo tena!?
  8. amoneyazan

    Naomba ushauri wa kisheria namna ya kumshughulikia jirani anayenitukana

    Swali zuri sana sana kwa kuanzia Ngoja tusubiri respond
  9. amoneyazan

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Hahaa Mkuu kati ya vitu ambavyo hua vinanipa changamoto ni usafiri wa kutoka Dom -Tanga, Maana ukishachelewa asubuhi inabidi usafiri kwa kuunga unga. Sasa nilivyoona mdau katoa option hiyo kwenye masihara yake ikabidi nimuulize nisijekuwa nahangaika bure kumbe kuna alternative [emoji1787]
  10. amoneyazan

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mkuu gari gani inatoka Dom- Tanga saa Saba Mchana!? Tupeane maujuzi
  11. amoneyazan

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mi hii game yao nilivyoona mambo buyu buyu first half Nika bett under 2.5 basi Nikijua kabisa game za mkoani hukoo ushindi mkubwa ni nadra sana
  12. amoneyazan

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Shukrani mkuu ntakuwa makini sana next time
  13. amoneyazan

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Daah mkuu hizi mambo zinahitaji umakini sana Nashangaa nimejilipua nika bet no Kuja kucheki vizuri wamenigeuzia kibao kuwa nime bett chelsea kutofika nusu fainali Daaah??? Imebidi niuze mkeka kwa hasaraa
  14. amoneyazan

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ndio maana na mimi nilivyooan duuh nikastukaa nikaona bora niilete hii mada kwa wataalam wa haya mambo ya mikeka watuhakikishie
  15. amoneyazan

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu kunakitu sielewi kwenye bett on big games Naona sasa hivi 1x bett chelsea to win UEFA 2020/21 No imepewa odds 11.5 Inamaamisha nini hasa!? Kwamba niki bett chelsea hachukui Uefa mwaka huu ntalipwa kwa odds kubwa kiasi hicho!?
Back
Top Bottom