Recent content by Amo1

  1. Amo1

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Wanajiita mabingwa wa dunia hao
  2. Amo1

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Leo hull city anapiga mtu.
  3. Amo1

    JamiiForums Tanzania Unaita mashahidi ambao unajua fika watakukandamiza. amakweli Lisu kachanganyikiwa.

    Nikimuona mtu ana critisize Lissu , huwa ninakuwa na mashaka na uwezo wake wa kufikiri.. Anyway .. time will tell
  4. Amo1

    JamiiForums Tanzania Mume wa Rais Samia azikwa Kizimkazi, Zanzibar

    Mbon chap hivyo
  5. Amo1

    JamiiForums Tanzania Nimegundua wanawake wengi wanaolewa na watu wasiokuwa wa ndoto zao!

    Kaka siku izi hawa wanawake wanaigiza sana mapenzi, ni ngumu sana kujua anae kupenda kwa dhati. Akitaka jambo lake ( mfano ndoa) utafanyiwa maigizo yote mpaka uone kuwa ni mtu sahihi.
  6. Amo1

    JamiiForums Tanzania Nimegundua wanawake wengi wanaolewa na watu wasiokuwa wa ndoto zao!

    Sasa mwanaume unahitaji upendo wa nini?? Kwan bila upendo wake maisha yako yatakwama? Kabla ya ndoa uliishije? Utaujuaje upendo wa mtu? , huwezi, maana moyo wa mtu ni kichaka. Mwanaume nakushauri usililie upendo kwenye haya maisha maana utateseka na pia utakuwa insecure sana. Usitafute upendo...
  7. Amo1

    JamiiForums Tanzania Warioba: Nilimwambia Nchimbi CCM inakufa

    Hiyo hata mimi layman wa siasa naweza kutabiri maana evidence zote ziko wazi
  8. Amo1

    JamiiForums Tanzania Ndejembi apitishwa na Bunge kuwa Makamu wa Rais

    Kama nchi tuko pabaya sana
  9. Amo1

    JamiiForums Tanzania Swali lisilotakiwa kuulizwa: Nani alikuwa nyuma ya Emmanuel Nchimbi?

    Mungu mwema
  10. Amo1

    JamiiForums Tanzania Deogratius Ndejembi ateuliwa kuwa Makamu wa Rais

    Hapo hamna kazi Mama amebugi
  11. Amo1

    JamiiForums Tanzania Dkt. Emmannuel Nchimbi afukuzwa uanachama wa CCM

    CCM wamekengeuka
  12. Amo1

    JamiiForums Tanzania Siwezi kuoa single Mother

    Nilikuwa napita tu
  13. Amo1

    JamiiForums Tanzania Siwezi kuoa single Mother

    Nilikuwa napita tu. Sio makazi ya kudumu
  14. Amo1

    JamiiForums Tanzania Siwezi kuoa single Mother

    Eti kaka.
  15. Amo1

    JamiiForums Tanzania Siwezi kuoa single Mother

    Nakubaliana na wewe .. watapewa nafasi nyingine kwa ushahidi usio na shaka wa kaburi la baba mtoto wake.
Back
Top Bottom