Recent content by Amo1

  1. Amo1

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania, Tundu Lissu akitoka gerezani mko tayari kuridhiana?

    Nakazia
  2. Amo1

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kugombana na hawa members wafuatao basi gusia hivi vifuatavyo

    Lucas Mwashambwa jaribu kumuongelea samia vibaya.
  3. Amo1

    JamiiForums Tanzania Confession: Juu ya kulala na wake za watu

    Mimi na tamaa zangu zote ..lakini ikifika kwa mke wa mtu.. akili ina stuck .. siwezi jichanganya
  4. Amo1

    JamiiForums Tanzania Asante Samia kwa kukuza Chadema na kufanya kiwe chama cha Watanzania wote

    CCM walizoea kuitumia chadema kama mwamvuli wa kuhalalisha maovu yao na chaguzi zao haramu wakitumia ushiriki wa chadema kama stamp muhimu ya kuonyesha kuwa tawala haramu kwa awamu zote zilizopita zilichaguliwa na wananchi kwa sababu tu chadema walishiriki .. Lakini mpaka wakati huu kila kitu...
  5. Amo1

    JamiiForums Tanzania Swali fikirishi: Tanganyika bila JamiiForums ingekuwaje?

    Jf imekuwa muhimili thabithi wa haki na kuibua mambo mbalimbali kwa maslahi ya hii nchi
  6. Amo1

    JamiiForums Tanzania Pendekeza wimbo tupate list ya Nyimbo 100 zinazoitambulisha Bongo fleva

    Kamwambie - Diamond plutnumz
  7. Amo1

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Slip inasaidia kukuonesha mchanganuo wa makato yaliyopita kwenye basic salary yako.
  8. Amo1

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Kuna namna hizi benki zinaweza kuwa ndio chanzo cha salary kukawia
  9. Amo1

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hahahaha
  10. Amo1

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Makato tayari huko.
  11. Amo1

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Punguzeni ushauri kwenye maisha ya watu wakuu.
  12. Amo1

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hazina 3 : 0 Watumishi Dk ya 89'
  13. Amo1

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Mwezi wa tano mshahara ulitoka kabla makato hayajapita.. kw hyo inawezekana na mwezi huu .. mshahara unaweza kutoka kabla ya makato .. Kwa hyo tuwe na matumaini leo mambo yanaweza kuwa poa
  14. Amo1

    JamiiForums Tanzania Wakinamama wanaolea watoto bila baba (single mothers): Sababu, athari kwa mtoto, changamoto na mitazamo ya jamii

    Sisi wazee wa chapa ilale .. pia tunahusika
Back
Top Bottom