CCM walizoea kuitumia chadema kama mwamvuli wa kuhalalisha maovu yao na chaguzi zao haramu wakitumia ushiriki wa chadema kama stamp muhimu ya kuonyesha kuwa tawala haramu kwa awamu zote zilizopita zilichaguliwa na wananchi kwa sababu tu chadema walishiriki ..
Lakini mpaka wakati huu kila kitu...
Mwezi wa tano mshahara ulitoka kabla makato hayajapita.. kw hyo inawezekana na mwezi huu .. mshahara unaweza kutoka kabla ya makato ..
Kwa hyo tuwe na matumaini leo mambo yanaweza kuwa poa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.