Kaka siku izi hawa wanawake wanaigiza sana mapenzi, ni ngumu sana kujua anae kupenda kwa dhati.
Akitaka jambo lake ( mfano ndoa) utafanyiwa maigizo yote mpaka uone kuwa ni mtu sahihi.
Sasa mwanaume unahitaji upendo wa nini??
Kwan bila upendo wake maisha yako yatakwama?
Kabla ya ndoa uliishije?
Utaujuaje upendo wa mtu? , huwezi, maana moyo wa mtu ni kichaka.
Mwanaume nakushauri usililie upendo kwenye haya maisha maana utateseka na pia utakuwa insecure sana.
Usitafute upendo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.