Ungeelezea kwanza maana ya ugaidi n nn ndo tungeweza kumchambua nani n gaidi na nani sio??
Kwani ushoga una mahusiano na wazungu??!!
So dini ya waingereza ina ukubali ushoga ama??
Think big jamaa ndo uje na wazo la maana humu
*Mke na mume walikuwa wamelala ghafla mume akaanza kupiga kelele akiwa usingizini asubuhi ilipofika mke akamuuliza mume Wangu mbona ulikuwa unapiga kelele usiku au ulikuwa unaota unakimbizwa?? Mume: yaani bola ningeota nakimbizwa hata na simba mke wangu..lakini nimeota nampigia tena kura...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.