Naomba kurogwa

Naomba kurogwa

Naomba kwa heshima na taadhima kurogwa, kama wewe ni mchawi au una ndugu yako mchawi mwambie naomba aniroge.

Mara kwa mara nimekua nikiwaambia watu humu na nje ya humu kua uchawi haupo na kam kuna mchawi naomba aniroge bado sijarogwa.

Kwa wale mnaoamini/kujua/kua na uhakika uchawi upo nawaombeni kwa heshima na taadhima mniroge jinsi mtakavyoona inawapendeza.

Wachawi, this is a soft ball i tossed to you, make sure you score the best goal, what hell of a chance to you? Mbuzi amejileta kwa muuza supu, kazi kwenu.
Mbona kama tayari usharogwa!!!?
 
Wachawi wa JF sio wachawi .....ila wachawi wapo nje ya jf
 
Kuna mambo nakuwa confused..
Km yapo au hayapo

Anyway
Mkuu ukiroga nipe jibu
 
Kote, nje ya jf na humu jf nishatoa hii ofa ya kurogwa bado sijqrogwa, najaribu kukumbushia kua ofa bado iko pale pale.
Nikupe principle ya wachawi walivyo ..ukisemw hivyo hawawezi kuthubutu wakifikiri kwamba nawewe ni mchawi mwenzao na una mamlaka ya juu sana ya kichawi so wakijaribu wanaweza kuumia wao ndio maana kwasababu wanajua kwa asili watu wanaogopa wachawi na kulogwa sasa ukiwa we ndio unawaita wanapata taabu sana kukuwekea vikao pabda usiku wa Leo wakikiwa kikaoni anaekujua akawapa jina lako then wakakujadili na ukujadilika tuu umekwisha...kwasababu katika sheria zao na taratibu anaekujua ndio anakutolea taarifa kwenye kamati na vikao vyao vya kichawi usiku.
 
Nikupe principle ya wachawi walivyo ..ukisemw hivyo hawawezi kuthubutu wakifikiri kwamba nawewe ni mchawi mwenzao na una mamlaka ya juu sana ya kichawi so wakijaribu wanaweza kuumia wao ndio maana kwasababu wanajua kwa asili watu wanaogopa wachawi na kulogwa sasa ukiwa we ndio unawaita wanapata taabu sana kukuwekea vikao pabda usiku wa Leo wakikiwa kikaoni anaekujua akawapa jina lako then wakakujadili na ukujadilika tuu umekwisha...kwasababu katika sheria zao na taratibu anaekujua ndio anakutolea taarifa kwenye kamati na vikao vyao vya kichawi usiku.
Mkuu nishawapa details zote wakanijadili wanimalize.
 
Huyu jamaa nahisi ni mkuu wa wachawi hivyo anahitaji vihere here wasio na ujuzi kama yeye awakomeshe
 
Haya ndo magirini wayatumiayo hao sijui ndo wachawi.

Eti lete majina yako halisi na la mama yako.....uzushi mtupu.
Jaribu mkuu. Mtumie majina tuone sbb ni dhana ya kufikirika tu wala usiogope
 
Mkuu nenda tanga au sumbawanga kabebe mke wa MTU utaomba poo.
 
Kama hayajakukuta huwezi kuyajua.
Mkuu naamini ipo siku utajutia maneno yako.
 
Back
Top Bottom