Bwana mzee, ile utantoa roho haikuwa official released bali ilivuja. Hivyo akatoa hii hasara roho ambayo ndani yake unaweza ukasikia mistari ya unantoa roho.
All in all mkuu Steve tunashukuru sana kwa kutupa mambo mapya ya kushangaza. Umesema kila wiki unatuma makala moja, please usinisahau katika ufalme wako mzee. Mie fan wako namba uno since day one!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.