Dar ni mkoa pekee wenye RC Darasa la Saba

Dar ni mkoa pekee wenye RC Darasa la Saba

hana cheti cha lasaba so nisawa kusema kaishia vidudu!! Huyu ndo think tank Wa mkulu na wanasiri za matukio yasopendeza ndomana mkulu hasubutu kumwacha
 
This is a calculated move jamaa asihukumiwe kwa kugushi vyeti, wakafuta kumbukumbu NECTA na kwa kua wateule wa Mungu mtu wa Ikuru hakuna kigezo cha elimu basi kesi imeisha.
 
Uzi huu hauna umuhimu wowote zaidi ya kuweka kumbukumbu katika hatua ambazo nchi yetu inapitia kama unavyojua JF ni archive ya mabaya na mazuri ya mama Tanzania.

Kwa mfumo wa elimu ya Tanzania unapohitimu kidato cha nne na kupata daraja sifuri hutatunukiwa cheti chochote. Kwa maana kwamba hutatambulika kama "uliyemaliza" form four......means tukiwaita waliohitimu form four wewe ukiitika utakuwa unajidanganya tu,maana huko mbele uyashindwa kutoa cheti

Hivyo kwa kuwa hujahitimu kidato cha nne ila umehitimu na kutunukiwa cheti cha darasa la saba hivyo mtu huyo hatatambulika kama muhitimu wa form four bali muhitimu wa darasa la saba.

Kwa logic huyo basi Paul Makonda ambaye ni mkuu wa mkoa wa Dar ni muhitimu wa darasa la saba.

Nimefanya utafiti wa mikoa yote bara na visiwani wakuu wa mikoa yote ni mkoa wa Dar pekee kwenye mkuu wa mikoa darasa la saba

Na pia ni mkuu wa mikoa pekee ambaye haieleweki anaitwa Paul Makonda au Daud Bashite!!

Kumbukumbu hizi ni muhimu sana. Kama Magufuli amelazimisha tuongozwe na mtu wa namna hii atashindwa vipi kulazimisha kumuachia ikulu?

Jioni Njema wakuu
Acha uongo hata elimu yako haifiki hata nusu ya elimu ya Makonda,kule Chuo cha Ushirika ulisoma wewe?halafu tuambie mwenyekiti wako Dj kafika darasa la ngapi
 
Dar Mpya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
OKW BOBAN SUNZU ni mtu pekee usiyekuwa na msimamo ya kile unachokiandika au kukisema, nimefanya uchunguzi wangu toka 2011 humu jf na nje ya jf, ushahidi upo.
 
Uzi huu hauna umuhimu wowote zaidi ya kuweka kumbukumbu katika hatua ambazo nchi yetu inapitia kama unavyojua JF ni archive ya mabaya na mazuri ya mama Tanzania.

Kwa mfumo wa elimu ya Tanzania unapohitimu kidato cha nne na kupata daraja sifuri hutatunukiwa cheti chochote. Kwa maana kwamba hutatambulika kama "uliyemaliza" form four......means tukiwaita waliohitimu form four wewe ukiitika utakuwa unajidanganya tu,maana huko mbele uyashindwa kutoa cheti

Hivyo kwa kuwa hujahitimu kidato cha nne ila umehitimu na kutunukiwa cheti cha darasa la saba hivyo mtu huyo hatatambulika kama muhitimu wa form four bali muhitimu wa darasa la saba.

Kwa logic huyo basi Paul Makonda ambaye ni mkuu wa mkoa wa Dar ni muhitimu wa darasa la saba.

Nimefanya utafiti wa mikoa yote bara na visiwani wakuu wa mikoa yote ni mkoa wa Dar pekee kwenye mkuu wa mikoa darasa la saba

Na pia ni mkuu wa mikoa pekee ambaye haieleweki anaitwa Paul Makonda au Daud Bashite!!

Kumbukumbu hizi ni muhimu sana. Kama Magufuli amelazimisha tuongozwe na mtu wa namna hii atashindwa vipi kulazimisha kumuachia ikulu?

Jioni Njema wakuu
Acha kutudhalilisha darasa la Saba.sisi ni wasafi na tunafanya kazi HALALI.
Sema dar ni mkoa pekee unaoongozwa na mhalifu.
 
Kwa mara ya kwanza Nakupinga vibaya sana ! Hakuna Mwanafunzi yoyote aliyefeli darasa la 4 akamaliza Darasa la 7 .
 
Back
Top Bottom