Recent content by aminah9

  1. aminah9

    Wanaume hii siri nawapa; zama zimebadilika, Tusioe!

    Kwamba wewe unaogopa mgawanyo wa mali kuliko MUNGU?
  2. aminah9

    Zitto Kabwe: Nitampeleka Abdul Nondo Uhamiaji tarehe 20/4/2018 kwa mamlaka yangu kama Mbunge wa Kigoma Mjini

    Mpaka amefika chuo kikuu means anacheti cha kuzaliwa ambacho kinaonesha mahali alipozaliwa na uraia wa wazazi wake, sasa wanahoji kitu gani tena?
  3. aminah9

    Nini Kimeikumba UDSM? Universities bora afrika 2018

    Tatizo ni siasa kuingilia elimu.....uongoz wa chuo ambao ni wanasiasa ..............
  4. aminah9

    Ushauri kwa waliooa tu: Mke wangu anavaa nguo zilizochakaa

    Well said, na kwakuwa anapenda ku-date na watu wanaopendeza basi na mkewe akianza kupendeza atakuwa anachepuliwa pia so awe makini na maamuz yake
  5. aminah9

    Nimeamua tuachane lakini shepu lake halinitoki akilini....

    Kweli kabisa..... wenye experience wala hawasemi wanapita tu
  6. aminah9

    Wanafunzi wa Vyuo Vikuu binafsi 2020 tusimpigie kura kiongozi anayedharau vyuo vyetu

    Makapi hayo yanachaguliwa na TCU hawajipeleke wenyewe
  7. aminah9

    Waziri wa elimu kwa hili la kurudisha walimu shule ya msingi umechemka

    Hako ka course kamoja ndio kanakupa kiburi kuona utaweza ku handle watoto wa primary...... nenda kafundishe ndio utajua ugumu wake
  8. aminah9

    Picha: Ulinzi mkali ulivyo Dodoma

    Field force unit
  9. aminah9

    Ni jinsi gani unaweza kumsamehe mwenzi wako pale anapokiri kosa

    Tatizo la mahusiano ni ngumu kusaidiawa mawazo...ila jua kukosea hakujaumbiwa fulan hata ww unaweza ukakosea tena kosa kubwa kuliko lako na mwenzako akakusamehe so muombe Mungu akusaidie kusahau maana ww km ww hutaweza
  10. aminah9

    Dr. John Pombe Magufuli futa punguzo la kodi katika mishahara ya watumishi.

    Baada ya kuona clip ya kikwete nimegundua....
  11. aminah9

    Ushauri: Niko kwenye kipindi kigumu sana

    Dadaangu maisha hayana formula we Muombe Mungu akutie nguvu azae mtoto wako umlee iko siku isikuwa na jina anakutafuta tu muamini Mungu hakuna kinachoshindikana kwake
  12. aminah9

    Binti ajinyonga baada ya kujifungua mtoto njiti

    Mtoto yuko hospital kwa kuwa alizaliwa na homa ya manjano
  13. aminah9

    Binti ajinyonga baada ya kujifungua mtoto njiti

    Alikuwa ni mtumishi yy pamoja na bf wake ️tena ofisi moja, tofauti ni kwamba mwanaume hakutanbulishwa kwa ndugu wa marehemu kwa kuwa wanaishi mbali ila kinachochosha akili ni maneno ya mama mkwe kwa marehemu ya kukatisha tamaa na kutokuwa na uchungu wala hofu ta kuwa na mtoto wa watu alhali...
Back
Top Bottom