Nimeamua tuachane lakini shepu lake halinitoki akilini....

Nimeamua tuachane lakini shepu lake halinitoki akilini....

Haya endelea nae mpaka pale shape yake itakapokupa result unayo itaka,usimuwache mwanamke shepu Tabia maajaliwa..
 
Are you on of the GT kweli? Jambo kama hili unashindwa kulitolea uamuzi?
 
nakumbuka pale udom kuna demu alikuwa mke wa mtu na yeye alijua kuwa namfahamu ila alivyokuwa analiwa aisee niliona huruma sana kwa mchizi wake..!!!
chuoni changamoto bhana.. ilifika hatua hadi mimi nikalamba.. sasa nifanyaje!
kweli mkuu mambo mengine ni kufumba macho tu.
 
nakumbuka pale udom kuna demu alikuwa mke wa mtu na yeye alijua kuwa namfahamu ila alivyokuwa analiwa aisee niliona huruma sana kwa mchizi wake..!!!
chuoni changamoto bhana.. ilifika hatua hadi mimi nikalamba.. sasa nifanyaje!
Mungu anakuona
 
ndo maana kumbe anakusumbua, mm nilishaapa haitakuja kunitokea hii.
 
NYIE NI WAJINGA MNAOTUZALILISHA WANAUME WENZENU UPO NA MWANAMKE NA AMEKILI KUWA ANA DUME ILI KAKUAMBIA SASA HIVI ANAKUPENDA WEWE NAWE UKAVIMBA BICHWA HAPO WEWE NI WAKUCHUNWA TU ALAFU SELE ANATUMIA HELA ZAKO WEWE KUNYWA MAJI TULIZA NAFSI UTAPATA DEMU MWINGINE AU KAMA UNATAKA KUOA UTAPATA KWANI SHEPU AKE INA MAAJABU GANI KUZIDI WANAWAKE WENGINE MIMI SITAKI NIPATE TAARIFA YA KIFO CHAKO KUWA UMEJIUA KUWA JASIRI KIJANA WANGU
Umemshauri vizuri sana jembe
 
Back
Top Bottom