Picha: Ulinzi mkali ulivyo Dodoma

Picha: Ulinzi mkali ulivyo Dodoma

Hii yote kisa bavicha? Yaani bavicha tu? Looh! Yakija masalia ya Osama je itakuwaje? Au wale wa kisasa Islamic State? Si ndo itatubidi kutumia mitondoo?
Tz ni nchi inayongoza kwa vta vya chinkwachin na hao wala cyo pilisi hao ni jesh wamepewa gwanda za polis ndg walevwotebunawaona ktk msafara wa magufur ni wana jesh tia pua uhumie
 
ila twende mbele turudi nyuma ukipata baby kama huyu hivi inakuwaje? kama wakali sana eeh?
 
hivi kwan FFU mpaka wavae miwani mieusi
Yes...sababu jicho la binadamu limeumbwa na aibu na huruma! Mkitazamana na macho makavu mwisho wa siku mnaweza kuoneana aibu!

Ndio maana kuna msemo unasema ukitaka kumuuua nyani usimtizame usoni!
 
Yes...sababu jicho la binadamu limeumbwa na aibu na huruma! Mkitazamana na macho makavu mwisho wa siku mnaweza kuoneana aibu!

Ndio maana kuna msemo unasema ukitaka kumuuua nyani usimtizame usoni!

hahahahahaha kweli, macho yakionana live mengi yanaweza tokea
 
Back
Top Bottom