Recent content by Amina Juma

  1. A

    Yaliyonikuta jana jioni

    umekosea kidogo ni fasihi nyegeshi
  2. A

    Matatizo ya king'amuzi cha continental

    Yan mm ndo nna hasira na hao continento natamani ata niitishe mkutano wa hadhara niwatangaze kuwa nimatapeli, nimekinunua toka mwez wa nane mwanzoni ila ukihesabu siku nlizofanikiwa kuangalia tv hazifiki hata idadi ya siku 3o tu siku moja nlijikuta nataka kuvunja redio kwa hasira coz kilikuwa...
  3. A

    Hukumu Kesi ya Ponda, ahukumiwa kifungo cha mwaka mmoja nje

    inatakiwa Afungwe kabisa maisha, kuwaonea haya watu kama hawa ndo kumetufikisha hapa tulipo. lazma tuitunze amani ya nchi yetu coz ikitoweka hakuna atakaye salimika :angry:
  4. A

    Kijijini kwa Mwigulu iliwahi kuwa kama Arusha na Lema

    Naunga mkono hoja Hakika Lema anapaswa kuwa mwangalifu kiongozi hapaswi kutamka hisia zake hadharani coz kila anachoongea kinaweka historia mfano isue ya jana asipoangalia anaumbuka kweupe coz majibu yachunguzi yanawalakini .anyway ila naionea sana huruma Chadema yangu 2015 wa mbadili huyu mtu...
  5. A

    PICHA: Compare and contrast - Mwanza and Morgoro

    kama mambo yenyewe ndo kama haya na mm natangaza rasmi kuanzia leo ntakuwa nnahuzuria mikutano ya ccm kitu burudan ya bure kabisa wakati mtaani tunalipia. Naombeni Muongozo wakupata t.shirt tafadhali ntakuwa nahifadhi kwenyepochi nkitoka navulia mbali
  6. A

    Kesi ya Lissu na wenzake: Makinda ahalalisha maamuzi ya Ndugai, aingiza kipengele kwenye kanuni

    Bunge siku hizi limesababisha futuhi na kina masanja wakose wafuasi
  7. A

    Hivi kwanini CCM hawakumfungulia kesi Zitto?

    achen kukurupuka basi!!!!!!!!!! hv mmesahau zito alifunguliwa kesi akituhumima kumpiga mtu wakati wa kampen ila hiyo kesi ilitupiliwa mbali baada ya kuonekana haina ukweli wowote??????????
  8. A

    Mdhamini wa harambee ya CHADEMA usiogope

    huu sasa ni umbea, kama mtu hataki kutajwa coz hataki usumbufu kwenye biashara zake ww wamtajia nn? lazma utambue sikila anae kiunga mkono chadema ni mwanasiasa kunawatu wanakipenda nakutamani chadema ichukue dola ila si wanasiasa nahawapendi kujitokeza ili wasisumbuliwe na magamba hivyo kuwa...
  9. A

    Wassira: Nasisitiza Vincent Nyerere sio Ukoo Wa Nyerere

    hv kumbe yule kampen manager wao nae ni mmasai!!!!!!!!!???????
  10. A

    Mbunge wa Chadema yuko India kwa matibabu

    ugua pole kamanda, ila mbona kila siku morogoro jamani...........
  11. A

    Tendwa ona Lema alivyopokewa Arumeru kwa shangwe

    mbona magufuli alipokwenda kufungua kituo kipya cha mbezi alining'inia kwenye daladala kama konda hukusema? au kwavile huyu wa chadema?????????? tena yeye ndoingekuwa mbaya zaidi coz umri umeenda bora huyu kijana acha zako bana zakuchanganya siasa na maadili
  12. A

    Ninawaza kugombea jimbo HAI 2015

    si mbaya ww jaribu tu hata kama hutapata hata kura moja utakuwa umepandisha cv yako
  13. A

    TBC mna bifu gani na CHADEMA?

    umeonaeeh!!!!! yan wamenishangaza sn ingekuwa ni ccm ingekuwa habari kuu, afu hata picha walizoonyesha wamepiga sehem ambazo hazina watu wengi afu kibaya zaidi wakachukua maneno ya katikati ya mazungumzo ya nassari hayana hata conection ili asieleweke unajua mm sjaelewa hata alikuwa anaongea...
  14. A

    Mbowe: CHADEMA hatutaki Ruzuku kwani ni utumwa kwa vyama vya siasa nchini

    Mmmmmmmmm, niwazo zuri sana na nnawapongeza sana chadema ila wasiwasi wangu ni je wataweza kukiendesha kweli chma bila ruzuku kweli?????????!!!!!!!!!!!!
Back
Top Bottom