francis august
New Member
- Dec 20, 2012
- 2
- 0
:smile-big:
kama mambo yenyewe ndo kama haya na mm natangaza rasmi kuanzia leo ntakuwa nnahuzuria mikutano ya ccm kitu burudan ya bure kabisa wakati mtaani tunalipia. Naombeni Muongozo wakupata t.shirt tafadhali ntakuwa nahifadhi kwenyepochi nkitoka navulia mbalihapo vipi?
kama mambo yenyewe ndo kama haya na mm natangaza rasmi kuanzia leo ntakuwa nnahuzuria mikutano ya ccm kitu burudan ya bure kabisa wakati mtaani tunalipia. Naombeni Muongozo wakupata t.shirt tafadhali ntakuwa nahifadhi kwenyepochi nkitoka navulia mbali
Maana yake ni kuwa Diamond yuko juu kuliko CCM. CDM nguvu ya uma.
Kwani hii yote miwili ilikuwa mikutano ya siasa? maana naona mwingine kama ulikuwa mkutano wa siasa na lingine tamasha la wanamuziki.
Ukiangalia picha utakuta wazungumzaji wa upande mmoja wa wanaongea kitu kwa hisia na wasikilizaji wanaonyesha ni watu wazima wanaonekana kusikiriza na kushirikisha akili zao kwa yale yanayozungumzwa. wakati picha za kijani inaonekana watu watoamaada wakijaribu kuwafurahisha watoto ambao ni wahangwa watarajiwa
Kwani hii yote miwili ilikuwa mikutano ya siasa? maana naona mwingine kama ulikuwa mkutano wa siasa na lingine tamasha la wanamuziki.
Ukiangalia picha utakuta wazungumzaji wa upande mmoja wa wanaongea kitu kwa hisia na wasikilizaji wanaonyesha ni watu wazima wanaonekana kusikiriza na kushirikisha akili zao kwa yale yanayozungumzwa. wakati picha za kijani inaonekana watu watoamaada wakijaribu kuwafurahisha watoto ambao ni wahangwa watarajiwa
MkuuMkuu open_Mided, I hope hujashangazwa na kitu hapo. Siku zote CCM kazi yao ni propaganda tu kwani hawana jipya la kuongea. Walishajuwa watu ahawana mpango nao hivyo wakatumia wanamuziki ili kukusanya watu kisha waje na porojo zao za abunuwasi. Siku zote, mtu anayeishiwa na mawazo huwa anajichanganya, mfano ulio hai ni hawa inzi wa chooni (CCM). Watu tunataka sera za maendeleo, wao wanataka kutuletea masuala ya kuimba pipi yangu hii, wewe yako ile....mwaga sera nini ulikifanya toka tupate uhuru mpaka hapa tulikofikia. Oh Chadema magaidi, nyie CCM je? Mbona ni zaidi ya magaidi tena mnaiba kweupeeeeeeee bila hata huruma kwa watu mnaowahubiria. Shame on you all. I hate CCM with a passion for hawana sera zozote za kimaendeleo, wao ni porojo tu na upumbavu usio na kifani.
Mkuu
hawa CCM wana balaa kweli wanaleta kilimo kwanza halafu wanatenga 1.8% ya budget kwa ajili ya kilimo. nashangaa inawezekanaje kijana mzima unayeweza kufikiria ukaishabikia ccm. wamekusanya watu morogoro kwenda kuwaona wasanii kwa gharama kubwa sana wakati nchi hii ina matatizo kibao masikini ya mungu watu waliokuwepo pale waliishia kutoa stress kwa kusikiliza mziki na the moment wanaondoka pale matatizo yao yakabaki bila hata kujua yatatuliwa na nani.
Nchi hii kila mtu analalamika JK analamika eti kuna misikiti inamuombea afe, kinana anailalamikia CDM, sasa imefikia mahala hatujui ni nani ameshika dola ya nchi yetu.
diamond aliimba wimbo gani?