Kweli jamaa ana uchungu na taifa letu, asiogope kile wanachofanywa wanaharakati mbalimbali duniani kote kama wakina Che Guevara, Malcolm X, Mohandas Magandhi, Mzee mandela na wengine kibao, Tuko nyuma yake mwanaharakati huyu kuhakikisha taifa letu linafika tunapotaka.
MUNGU IBARIKI TANZANIA...