Shukrani kwa JamiiForums

Hongera sana, ila usitosheke na ulichopata. Kila mwisho wa hatua moja ni mwanzo wa hatua nyingine; anza bidii nyingine tana ya kujenga rekodi ya mafanikio kusudi angalau siku moja ufikie kuwa mkuu wa kitengo.
 
Nitakurushia pm tuone jinsi gani tutafanya dili la kupeleka nguzo za umeme mombasa kisha tuzirudishe Tanzania na kuziauza kwa bei ya kurusha kama vile zimetoka South Africa. Unaonaje hilo dili?
Ni mwaka na miezi kadhaa nilikua mtaaani bila kazi ila kwa msaada mkubwa wa JF kupitia categori ya Kazi na Tenda nmeweza kuona job adds ambazo nyng nmekua nikituma na hatimaye nmefanikiwa kupata job baada ya kufanyiwa interview for accountant post kampuni ya Sao Hil Iringa June 29,nmeanza kazi this month,shukrani sana JF.
 
mungu akubariki na sisi wa hombolo tanasubiria ila nazani jamaa wa utumishi wameshajiweka sawa
 
jamaa wa utumishi wameniita sehemu mbili on the some date hapa nimedata siuji niende wapi, ila nazani kwa sasa wako vizuri kidogo
 
hongera sana,, sasa uko kwenye system so kumbuka kutusaidia kwa channel na maombi na sisi uliotuacha mtaaani,, kazi njema ndugu,
 
Ni mwaka na miezi kadhaa nilikua mtaaani bila kazi ila kwa msaada mkubwa wa JF kupitia categori ya Kazi na Tenda nmeweza kuona job adds ambazo nyng nmekua nikituma na hatimaye nmefanikiwa kupata job baada ya kufanyiwa interview for accountant post kampuni ya Sao Hil Iringa June 29,nmeanza kazi this month,shukrani sana JF.

Big up alot JF kwa msaada wenu kwani si huyo pekee tupo wengi ambao imetusaidi,kutufungua na kutupa changa moto, Mkuu Mungu amekufungulia njia komaaa...start 2 creat ur dreamz, Kuwa muaminifu na mchapa kazi kutengeza CV ili kila utakapokuwa unaomba ama kwenda uwe unang'ang'aniwa nakuonekana kama Almasi.
 
Hongera sana mkuu, ila mshukuru Mungu wako kwa kuwapa waanzilishi wa JF na kukufanikisha kupata kazi!
 
Back
Top Bottom