Recent content by Ambrose Nshala

  1. Ambrose Nshala

    January Makamba: Natafakari kuwania urais 2015

    Hili ni jambo jema kuona kiongozi kijana anajitokeza. Natumai hata rudi nyuma katika hili...INAWEZEKANA!!
  2. Ambrose Nshala

    Tanzia: Naibu Meya CHADEMA Moshi Mjini afriki dunia

    Mungu aiweke roho yake peponi...Amina
  3. Ambrose Nshala

    Congo's M23 rebels end rebellion, say ready to disarm

    Hii kwa hakika ni habari njema kwa wapenda amani wote duniani hasa raia wa DRC ambao wameteseka sana kutokana na vita hii. Ushiriki wa Tanzania katika kuutokomeza uhasi huu ni wa kujivunia pia. JWTZ imeonyesha uwezo. Natumai amani hii italindwa idumu.
  4. Ambrose Nshala

    TANZIA: Askofu Mstaafu Amedeus Msarikie afariki dunia leo alfajiri

    Raha ya Milele umpe ee Bwana na Mwanga wa milele umwangazie Apumzike kwa Amani......Amina
  5. Ambrose Nshala

    Tanzia: Askofu Thomas Laizer wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini afariki dunia

    Mungu aiweke roho ya Askofu Laiser Peponi......Amina
  6. Ambrose Nshala

    Hongera Dr. Mwakyembe, hongera TRC

    Mwakyembe ameonge kwa vitendo!!! Kwa kweli amethibitisha kuwa yeye ni kiongozi makini na mwenye vision. Nitafurahi kama viongozi wengine watajifunza na kufanya mambo mazuri kama Mwakyembe.
  7. Ambrose Nshala

    Zitto Kabwe mbunge makini kuliko wote TZ!

    Namkubali sana Zitto Kabwe kwa ushupavu wake wa kusimamia hoja, nampongeza pia Deo Filikunjombe na wana CCM wengine walioona mbali zaidi ya chama na kuweka maslahi ya Taifa mbele. Naamini wapo wabunge wengi wa CCM walioamua kutotia sahihi zao kwenye list ya Zitto lakini waliiunga hoja mkono kwa...
  8. Ambrose Nshala

    Ujamaa wa Tanzania ni kwenye Katiba tu! - Zitto Kabwe

    NI vema viongozi hasa wa vyama vya siasa wakaweka wazi sera zao juu ya mfumo wanaoufuata ili hata wapigakura wajue na wachague kwa kuzingatia hilo pia. Ujamaa kwa sasa umebaki kwenye vitabu, sidhani hata CCM kama inaukubali mfumo huu ingawa hakuna kiongozi aliyejitokeza kuhoji. Nadhani ni...
  9. Ambrose Nshala

    JF ninaomba sala zenu leo ni kura za maoni!

    Nakutakia kila la kheri Comrade....
  10. Ambrose Nshala

    Naungana na kina ZITTO umri wa kugombea urais!

    Wazo la umri muafaka wa kura Rais wa nchi mimi naliangalia kwa tofauti kidogo. Kwanza kabisa naamini Tanzania inahitaji Rais shupavu, mwenye uelewa mzuri wa masuala ya kiuchumi na kisiasa na mwenye uthubuti wa kufanya maamuzi yenye lengo la kuwanufaisha wengi hata kama maswahiba wake wachache...
  11. Ambrose Nshala

    Kenya Airways does it again, truely the pride of africa

    This is a fantastic business move, poor ATC, wish you could at least learn from our dear neighbours. Congratulations to KQ!!!!
  12. Ambrose Nshala

    January Makamba: Najua kinachoendelea BUMBULI hata kama nikiwa New York

    With this Januay has shown the way...I commend him on this and wish him all the best in serving the people of Bumbuli and the Nation at large. Well done comrade!!!
  13. Ambrose Nshala

    Zitto Kabwe akutana na Keneth Kaunda - Lusaka Zambia

    Well done Zitto!! Pass our regards to Mzee. Tell him, we shall not despair...!!!
  14. Ambrose Nshala

    Operesheni ya Magufuli yatikisa Dar

    Ndugu yangu Magufuli ni kiongozi wa Kitaifa, na anayoyafanya tunafaidika wote...as long as anatekeleza maamuzi halali, tupo pamoja naye. Akighafilika pia tutasema.
  15. Ambrose Nshala

    Operesheni ya Magufuli yatikisa Dar

    Msimamo wangu katika hili ni kwamba Sheria za nchi lazima zifuatwe. Watu wengine hawafuati sheria na akiambiwa anasema viongozi hawafuati haki za binadamu. Ili tupate maendeleo ni lazima sheria zifuatwe...Magufuli ni mtekelezaji mzuri wa maamuzi ya serikali katika wizara yake. Tumpe ushirikiano...
Back
Top Bottom