zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,935
Mbon hizo kazi hazikufanywa toka mwaka 2005!
Kazi zilizopo na uozo anaourekebisha Jakaya ni wa Kuanzia nchi hii ilipopata Uhuru, unafikiri kaenda Ikulu na Taa ya ajabu, akiisuguwa tu siku yapili ya tayari? Jiulize waliokuwapo kabla yake walikuwa wapi kwa Miaka yote waliokuwepo madarakani?