Mimi ninachojua ni kwa Wanajeshi wengi hawana ganji(milunguru) kama wafanyakazi wengine, hivyo basi wananunua magari wanayoweza kuyahudumia kwa kutegemea vipato vyo hahali.
Kama nakufahamu vile, ila uilchomfanyia sister sio poa kabsa, na umekosea kumuanika hapa, kumbe ndo uko hivi! hakuna mwanaume makini mwenye tabia kama zako
Mayanga! ha ha ha ha ha ha, hii ni tamu sana, kwani hujui kuwa huyu n Shemela? Nenda pale Azania Bank Plc branch ya Rocky City Mall ujionee mambo, kwe kwe kwe kwe kwe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.