naliwe
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 647
- 800
KabisaaTobaaaa, baadae utasikia wananchi walinisimamisha wakaniomba nisiachie uenyekiti wa chama wana imani sana na mimi. Na mimi nimetafakari sana nimeona nisiwavunje moyo ntaendelea kuwa mwenyekiti
KabisaaTobaaaa, baadae utasikia wananchi walinisimamisha wakaniomba nisiachie uenyekiti wa chama wana imani sana na mimi. Na mimi nimetafakari sana nimeona nisiwavunje moyo ntaendelea kuwa mwenyekiti
Hivi kwa nini ccm hamtaki kulala usingizi manjisumbua na Uenyekiti wa Mbowe ?, nyie si mna chama chenu na mna mwenyekiti wenu ?, hivi mmewahi kutusikia sisi tukiwa fuata fuata kuhusu mzee mangula ?.Tobaaaa, baadae utasikia wananchi walinisimamisha wakaniomba nisiachie uenyekiti wa chama wana imani sana na mimi. Na mimi nimetafakari sana nimeona nisiwavunje moyo ntaendelea kuwa mwenyekiti
Hao wauzaji juice na maji ukisimamisha tu gari wanajaa kulizunguka ili wauze 😂😂😂 bavicha bhana !!.Hebu jionee mwenyewe , ama kwa hakika usithubutu kushindana na aliyejaaliwa
View attachment 1231336
Unajitahidi sana kumwambafai hiki chama, lakini hakika nakuambia umebaki pekeako, wenzio wote walishasoma alama za nyakati wamekaa kimya.Hebu jionee mwenyewe , ama kwa hakika usithubutu kushindana na aliyejaaliwa
View attachment 1231336
Ingekuwa haijiamini ingechagua watu wa kujiandikisha. Kwanza hii kubembelezwa ni uungwana tu wa rais. Miaka ya nyuma mwanaccm mmoja alikuwa na uwezo wa kujiandikisha hata mara tano na anapiga kura.
Mkipewa fursa mnaongea, mkinyimwa fursa mnaongea.
Wingi wa kura unatoa nafasi ya watu kujitafakari wamekosea wapi hata wakichakachua lakini ukweli unabaki kuwa hatukubaliki hapa. Mkiacha wengine wakichagua hata kumi na wakichagua ccm itaonekana wazi kuwa tunakubalika hapa isipokuwa wapiga kura ndio wachache. Tatizo la nyumbu ni kutotumia akili.
ushindi wa kura mil 10 huku mgombea wa ccm akiambulia mil 3.5 unusu tu , waulize wenzio kisa cha siasa za majukwaaniKwani mwisho wa mafuriko ilikuwa ni nini?
hakuna mtu atakaye laumu mzee baba. kujiandikisha ni hiari ya mtu wala sio swala la chama. upuuzi wenu mnadhani tulikuwa hatujui au tumesahau kwenye chaguzi za marudio. unakumbuka ule ujinga na upuuzi wa kinondoniWote hao hawajajiandikisha lakin matokeo yakitoka wanadai kura zao zimeibiwa
⛏️🗡📍📌💉💊🦂🐜Hivi kwa nini ccm hamtaki kulala usingizi manjisumbua na Uenyekiti wa Mbowe ?, nyie si mna chama chenu na mna mwenyekiti wenu ?, hivi mmewahi kutusikia sisi tukiwa fuata fuata kuhusu mzee mangula ?.