Nimeishia Kusoma pale panaposema CID (Criminal investigation Department) ya Tanzania na FBI (Federal Bureau of Investigation) ya Marekani zinafanana..
Tunapenda sana stori za ujasusi ila hilo Tango pori hapana kwakweli
"Content creators" ni janga katika nchi yetu.. Hatuheshimu weledi na ujuzi wa watu!!
Ruge Mutahaba alikuwa na uwezo wa kunusa "content" na kuiwasilisha kwa jamii.. Pia alikuwa mzuri wa kuunganisha vipaji na weledi katika kazi.
Asa hivi hao watu hatuna katika media House zetu. Ni full...
Huu mgogoro umeanza baada ya Waziri Ummy kufuta Programu ya ADDO.
ADDO ni programu ambayo ilianzishwa na wizara ya Afya na kuwekwa chini ya Baraza la famasi kwa lengo la kutoa kozi fupi kwa wataalamu wa Afya ambao sio wafamasia lengo ni kuhakikisha wanapata uhalali wa kufungua na kuendesha...
Ukitaka kujua haya mambo ya mgawanyo wa kimajukumu kwa kada zetu za afya yalivyokuwa changamoto, angalia Taasisi kubwa kama MSD kila siku malalamiko ufanisi wake ni mdogo.
Ila kumbe watu wanaohusika na hiyo Taasisi hawana utaalamu wowote kuhusu mambo ya madawa sasa unategemea nini??
Hapa...
Mimi nadhani labda "Professor" anatumia curriculum ya South Africa. Inabidi afanye mchakato wa kupitia upya mtaala wa Famasi wa Tanzania kisha ajiridhishe na hoja zake kuhusu majukumu ya Mfamasia katika Hospital setting hapa Tanzania
Sasa "Professor" hiyo Pathophysiology tunasoma tena ndo msingi wa Mechanism of Action (MOA) ya dawa yoyote ile utakayojifunza ukiwa chuoni.
Hizo nimezitaja zile basics tu ambazo Mfamasia na Daktari wana share katika kujenga msingi wa ufahamu wa Tiba kwa binadamu.
Baaada ya mwaka wa kwanza kila...
"Professor" naona hauna mtaala wa kozi ya Ufamasia katika makarabrasha yako!! Ufamasia ni zaidi ya ulivyoelezea hapo.
General Pathology
Anatomy
Physiology
Biochemistry
Microbiology
Basic Pharmacology
Hizo course hapo juu vyuo vingi kwa semester 2 au 3 za mwanzo huwa zinatolewa kwa wanafunzi...
Ndo maana Senegal wana taji la ubingwa wa Soka Afrika.. Na kwa sasa ndo team yenye mchezaji bora kabisa duniani!! (Sadio Mane) achilia mbali wachezaji wake wengine katika ligi bora barani Ulaya
Ukileta magumashi huku chini katika kujenga msingi imara uta ambulia mafanikio ya muda mfupi tu ila...
Kuna DUKA LA DAWA MUHIMU (DLDM) na kuna duka la dawa "Pharmacy"
Katika kuanzisha biashara ya kuuza dawa inabidi uwe specific ni aina gani ya Duka la dawa unahitaji kuanzisha..
Drill ya askari mwenye silaha aliyekuwa Gadi ni haruhusiwi yaani ni marufuku kuruhusu mtu yeyote kumsogelea uelekeo wake bila kujitambulisha... "hapo hapo ulipo simama jitambulishe!!!" hii ni command yaani hata awe General Mabeyo lazima atii ndo mengine yafuate la sivyo anaruhusiwa kushoot...
Drill ya askari mwenye silaha aliyekuwa Gadi ni haruhusiwi yaani ni marufuku kuruhusu mtu yeyote kumsogelea uelekeo wake bila kujitambulisha... "hapo hapo ulipo simama jitambulishe!!!" hii ni command yaani hata awe General Mabeyo lazima atii ndo mengine yafuate la sivyo anaruhusiwa kushoot...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.