Recent content by Amani kisinga

  1. A

    Uwanja wa Taifa: Simba SC 1-0 Azam FC, ligi kuu soka Tanzania bara

    Asante kwasi kwa kazi zuri unayoifanys
  2. A

    Salum Mwalimu aahidi makubwa Kinondoni

    Ingekuwa wanaokuja kwenye mikutano ndo watakao piga kura angeshinda ,tatizo ni kwamba wanakuja kukushangaa kwenye mikutano ila kwenye kupiga kura huwaoni unabaki oh nimeibiwa kura
  3. A

    Chahali na Uenyekiti wa Mbowe CHADEMA

    Kakojoe ulale mtoto halali na hela
  4. A

    Chahali na Uenyekiti wa Mbowe CHADEMA

    Nimegungdua wewe ni mpumbavu unaishi kwa mazoea kukuelewesha ni kazi ngumu
  5. A

    Lowassa akirudi CCM, Dkt. Slaa atasemaje?

    Hana cha kufanya kwa7bu yy kwa sasa c mwana siasa bali ni mtumishi wa serikali nje ya Tanzania
  6. A

    Chahali na Uenyekiti wa Mbowe CHADEMA

    Haimaanishi kuvaa kwako suruali safi juu ya chupi chafu kutakufanya uwe msafi!!!!! Tafakari then chukua hatua!
  7. A

    Chahali na Uenyekiti wa Mbowe CHADEMA

    Sioni tofauti mkuu sasa naona wanajaribu kumbadilisha kenge kuwa samaki kwamba keshotoka nchi kavu kaingia majini kwamba haruhusiwi tena kutoka majini vinginevyo amuone papa ampe viza
  8. A

    Chahali na Uenyekiti wa Mbowe CHADEMA

    Unazungumzia kipindi tumetoka kupata uhuru nionavyo mimi b4 tanzania ikombolewe ikombolewe kwanza chadema kutoka mikononi mwa familia kiwe chama huru cha wanachama
  9. A

    CHADEMA mtafakari kauli zenu

    Kwa hiyo unamaanisha wao kumficha dereva wa lissu ni kosa kisheria sio?
  10. A

    Freeman Mbowe: Heri ya Mwaka 2018, Huwezi kupata Maendeleo Kama Mtu Haupo Huru

    Ndio kukishakuwa na uhuru huko tutapata viongozi bora sio wa kung'ang'ania madaraka achaguliwe mtu kwa uwezo wake sio unataka uhuru kwenye Taifa wakati ndani ya chama hakuna uhuru
  11. A

    Freeman Mbowe: Heri ya Mwaka 2018, Huwezi kupata Maendeleo Kama Mtu Haupo Huru

    Uhuru uazie ndani ya chama kimoja kimoja kisha Taifa
  12. A

    Kirumba, Mwanza: Mbao 2-0 Yanga, Yanga yapokea kichapo Cha kwanza na kudondokea nafasi ya nne

    Wape hongera kwa kufungwa kwa taaaaabu goli 2-0
  13. A

    Mavazi ya wasanii kwenye video sio tatizo, tatizo ni ushamba wa viongozi wetu

    Wanaomwita rais mshamba kwa kukemea watembea uchi ni mambumbumbu kaabisa tena wapumbavu msiejua mmetoka wapi! Ni wapi mlipo! Na mnakwenda wapi? Na wengi wenu ni nyie mnaenda club na watoto wenu,binti zenu dada zenu na mnazini nao
  14. A

    Tanzania inamhitaji Magufuli kuliko Magufuli anavyoihitaji Tanzania!

    Majizi na mafisadi mala rushwa ndo hayatamhitaji
Back
Top Bottom