mechard Rwizile
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 1,571
- 875
DR. Slaa atasema chumba cha kulala kumesafishwa na sio choo tenaWakuu habari za asubuhi,
Nimejiuliza swali hilohapo juu, sababu wote tunafahamu kilicho muondoa Dr. Slaa CHADEMA.
Kwa kauli yake Dr. Slaa ni kwamba yeye alijitoa CHADEMA sababu alikuwa ndie aliemtangaza Lowassa katika list of shame, na hakuwa na jinsi ya kumsafisha. Sasa ikitokea akakarudi CCM ningependa kusikia Dr. Slaa anamzungumziaje Lowassa.
Ngoja nisubiri kuona kuna kitu kingine nataka kujifunza hapa.
