CHADEMA mtafakari kauli zenu

CHADEMA mtafakari kauli zenu

shirikisha ubongo ndugu ...serikali haija mpa mafunzo mtu miaka jinsi ya kushika bunduki na kutumia halafu huyo mtu akaenda kutumia risasi zaidi 30 kwa mtu aliye mbele ya macho yake amka ndugu kesi hii ipo wazi sana ndio maana chadema walikimbiza ushahidi wote nchi jirani. Subiri huyo mgonjwa apate akili zake timamu za kulitafakari hili jambo lote ndio atajua kikulacho kinguoni mwake.
Zile cctv kwanini mmezing'oa.
...mbaffff sana nyie
Mmepoteza ushahidi
 
Lisu kachanganyikiwa. Alidhani kuongea Kiingereza basi vyombo vyote vya habari duniani vitamzungumzia. Anadhani yeye ni mtu mkubwa sana anayepapatikiwa na vyombo vyote vya habari kumbe ni kajitu ka kawaida tu. Sasa inabidi genge la Chadema litafute mbinu nyingine.
Uwe mkweli,wewe na lisu nani kachanganyikiwa??
 
Kihiyo ni mama yako maana alikuwa mwalimu wangu, lawama ni za mama yako, my teacher, primary school teacher! hakunifundisha maana naye alikuwa kihiyo. Mwalimu wangu kabisa
Mama yangu hakuwahi kua mwalim ni mwanamke wa tano kupata CPA nafasi ya NNE baada ya Anna Makinda
 
Mama yangu hakuwahi kua mwalim ni mwanamke wa tano kupata CPA nafasi ya NNE baada ya Anna Makinda
Nimekupata, jiepushe maneno ya matusi, kejeli unapomjibu mtu. Just hit the point. Hakuna haja ya vilaza, jinga, mpumbavu etc. Avoid those derogatory terms!
By the way, CPA ni vitu vidogo, ila fani ya uhasibu waliamua kuwa restrict watu wasijazane. Kuna ugumu gani huko wa kuwashinda watu. Ni ukiritimba wa ngozi nyeusi na roho mbaya. Haya mambo ya arts huwa ni marais, there is no difficult concept to defeat a determined student to grasp! Kuna vitu vigumu, very difficult concept to comprehend by a student, mpaka leo watu, wanasayansi wakubwa wanabishana... Warping of spacetime, by Albert Einstein alileta science ya Special theory of relativity... vitu mpaka leo vinawachanganya watu. ... Have a nice day anyway. Enjoy your day!
 
Kwa kuzingatia mahali popote penye ulinzi ukitokea uhalifu wa kwanza kukamatwa na kuhojiwa ni walinzi,rejea baada ya yule major general kushambuliwa kwa risasi nyumbani kwake wa kwanza kukamatwa alikua mlinzi wake na yule teller aliyemuudumia Bank,kwahiyo hawa wanaoitetea serikali kuhusika kwake wanajua sema wanajitoa ufahamu
Kwa hiyo unamaanisha wao kumficha dereva wa lissu ni kosa kisheria sio?
 
Lisu kachanganyikiwa. Alidhani kuongea Kiingereza basi vyombo vyote vya habari duniani vitamzungumzia. Anadhani yeye ni mtu mkubwa sana anayepapatikiwa na vyombo vyote vya habari kumbe ni kajitu ka kawaida tu. Sasa inabidi genge la Chadema litafute mbinu nyingine.
Kwa nn cctv camera ziliondolewa siku kashambuliwa lissu ?
Kwa siku hiyo hakukuwa na police hata mmoja while siku zote huwa wanalinda hizo nyumba ?

Acha ushabiki kwenye sensitive issues

Idiot
 
Kwa nn cctv camera ziliondolewa siku kashambuliwa lissu ?
Kwa siku hiyo hakukuwa na police hata mmoja while siku zote huwa wanalinda hizo nyumba ?

Acha ushabiki kwenye sensitive issues

Idiot
Sasa unaniuliza mimi kwani nilikuwepo? Nenda kawaulize polisi watakujibu. Idiot.
 
Nimekupata, jiepushe maneno ya matusi, kejeli unapomjibu mtu. Just hit the point. Hakuna haja ya vilaza, jinga, mpumbavu etc. Avoid those derogatory terms!
By the way, CPA ni vitu vidogo, ila fani ya uhasibu waliamua kuwa restrict watu wasijazane. Kuna ugumu gani huko wa kuwashinda watu. Ni ukiritimba wa ngozi nyeusi na roho mbaya. Haya mambo ya arts huwa ni marais, there is no difficult concept to defeat a determined student to grasp! Kuna vitu vigumu, very difficult concept to comprehend by a student, mpaka leo watu, wanasayansi wakubwa wanabishana... Warping of spacetime, by Albert Einstein alileta science ya Special theory of relativity... vitu mpaka leo vinawachanganya watu. ... Have a nice day anyway. Enjoy your day!
Kumbe akili unazo,sasa kwanini unajitoa ufahamu,wakati unaonekana ni MTU mwenye maono na hoja ila kwa LA Lisu umeamua tu kuvuruga akili zako kwa makusudi
 
Back
Top Bottom